Huo sio ushamba bro.Jambo la kukosa tickets sio kitu unique kijana huu wenu ni ushamba wa first time,
huwezi pata ticket ya Msa Nbo ya kesho manake tayari iko fully booked. You must book 2days prior
Either way nimependa hii conversation mmeanza manake baadae ndio tutatumia kuwakaanga.
Bali hii inaonesha DEMAND YA TRENI NI KUBWA.
Muitiko wa watu umekua mkubwa kuliko ilivyotarajiwa.
Hivi treni yetu na yenu ipi ina mabehewa mengi??