Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wiki mbili abiria zaidi ya elfu 40.
Inamaana wiki moja wamesafiri abiria 20k+.
Ninyi wiki moja 7k+.
Je hapo hesabu imekaa sawa!?
Wiki ya kwanza ni ya testing, kwa hivo abiria sio wengi. Wiki ya pili ndio sasa treni inaanza kazi visawasawa, abiria wanaongezeka. Siwezi shangaa kama wiki ya pili Kenya ilikuwa na abiria wengi kuliko hiyo ya Tz.
 
Tanzania SGR kwa mwanzo tu ndani ya wiki 2 wamesafiri watu 40k

View attachment 3033062

Kunyaland walisafiri 14k unaona kabisa ni mradi upi ni white elephant

View attachment 3033063
And mind you, Route ya Nairobi-Mombasa ndio their busiest route hapo ukunyani 🤣🤣🤣 tukiwaambia Tanzanians ni travellers unlike them wanapinga. No wonder waliwahi kukataa uwepo wa route ya Dar-Moro. Now they know. 😂😂
 
Wiki ya kwanza ni ya testing, kwa hivo abiria sio wengi. Wiki ya pili ndio sasa treni inaanza kazi visawasawa, abiria wanaongezeka. Siwezi shangaa kama wiki ya pili Kenya ilikuwa na abiria wengi kuliko hiyo ya Tz.
Lete takwimu hapa.
Maana sisi wiki hiyo hiyo ya kwanza abiria walikua wengi kiasi wengine walikosa nafasi ya treni.
Na wiki hiyo hiyo ya kwanza abiria walilalamika kuwa safari ziongezwe.
 
Inawezekana huyu hater hapa ni Mkundustan au Mzungu anatumia 😁😁👇👇
View: https://twitter.com/luca9alco/status/1808562734948094418?t=dtqpIFF1W_blqhhrS10TIg&s=19

Sasa huyu mbuzi alitaka nani ajenge barabara? China gives us good deals in road construction than western companies ambao hawana habari na Africa they always want to see us in destitute situation.

Zingekuwa barabara za western countries asingekuwa disappointed sio? He is a f****g racist.
 
Safari ya bure ilikua moja tu ya kwenda Morogoro.
Hakukuwa na safari ingine ya bure.
Hivi unajua kuna mamia ya watu tulikwama kusafiri wiki ilopita kwa kukosa nafasi!?
Jiulize kama treni zingekuwa mbili zinafanya safari hivi ingekua wamesafiri watu wangapi!?
Ingekua zaidi ya 40k.
Jambo la kukosa tickets sio kitu unique kijana huu wenu ni ushamba wa first time,
huwezi pata ticket ya Msa Nbo ya kesho manake tayari iko fully booked. You must book 2days prior
Either way nimependa hii conversation mmeanza manake baadae ndio tutatumia kuwakaanga.
 
Back
Top Bottom