buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Bro achana nae, ni ujuha kumleta Jomo Kenyatta kwenye viongozi waliokua tayari kwa lolote.Nakwambia hivi Kenya mlichopitia kidogo.
We unajua Cuba alikaliwa kooni na nani!?
Cuba toka anausaka uhuru lile Sekeseke hadi leo linamtafuna.
Usifananishe Kenya na Cuba mister.
S.A walikua wanadai sehemu ya uhuru,maana kama mtawala alikua Uingereza ambaye aliachia kijiti kwa Boers.
Boers walijiona wana haki ya kuendesha S.A.
Na S.A walitaka wajiendeshe wenyewe.
Toka Kenyatta achukue Kenya kuna msaada gani alisaidia nchi nyingine zilizokua na madhira kama yake, zaidi ya kujipeleka upande wa wazungu na kufanya usaliti kwa viongozi wengine?