RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,881
- 129,910
Wewe bado unahangaika na sgr, hio vita imekwisha. Pumba na mchele vishajitenga sasa hivi tujadili vitu vingine.Nikiangalia ile shoddy job mmturuki amefanya kwenye embankments na Nikiangalia mizigo ya Dar port nabaki nikicheka tu manake na jua within 1 year tutakuwa tume elewana. Alafu Nikiangalia izo speed za bullet train nabakia kuona ni facelift tu. Hizo 700km za Sgr ya Kenya ilitosha kuishinda ile ya mhabeshi mwenye mizigo mingi. Usiombe kabisa tufike malaba manake itakua catastrophic kwa Tanzania.