Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Historia ya Tanzania independence ni fupi na very boring. Sijui maji maji rebellion jamaa wanajipaka maji ya kichawi kuzuia risasi.
Tunasoma the shortest war duniani ilikuwa Anglo-Zanzibar war, ilichukua dakika 30-45. Huu uzembe mulianza zamani sana ...
Tanzania is not Kenya. Kenya ilikuwa inaongozwa na Stupid person abaye hana Education (Jomo) 🤣 🤣 🤣 🤣
 
  • Peaceful Protest and Diplomacy: Nyerere emphasized non-violent means to achieve independence. He believed that a peaceful approach would be more effective and sustainable in building a new nation. His advocacy for non-violence distinguished the Tanganyikan independence movement from other contemporaneous struggles.
  • Negotiations with the British: Nyerere engaged in diplomatic efforts with the British colonial authorities. His approach was to seek a negotiated transition to independence rather than through armed struggle, which gained him respect both locally and internationally.
Copy and paste merchant Nyerere cannot be mentioned in the same sentence with freedom fighters like che guevara, Jomo kenyatta, Fidel Castro etc he is a western stooge like Nelson Mandela.
 
Jomo dropout 🤣🤣🤣🤣Mnakubali kuongozwa na mtu aliye fail shule. Wakenya ni wajinga sana
Kwisha Habari yako, leo tumeangazia sheria za ardhi za Tanzania na hali ni mbaya kuliko South Africa wakati wa Apartheid. Serikali inaweza kukuhamisha kutoka ardhi yako halali bila fidia. Chadema wanakazi kubwa kuikomboa vumbi nation
 
Juzi na sisi tumechukua loan ya IMF . I hope haina condition za Ajabu . Plus Tanzania ijitahidi isije ikachukua Eurobond
Tatizo mijitu kina February na mwenye tai ya bendera ya taifa ndio ipo eneo sensitive. Na imekua na ndoto za uraisi.

Kukopa kopa ufala, Stick na ulichonacho tumia kwa priority, kama mzee asingetibua madini leo tungekua na mgao wa kueleweka kweli toka Barrick?
 
Historia ya Tanzania independence ni fupi na very boring. Sijui maji maji rebellion jamaa wanajipaka maji ya kichawi kuzuia risasi.
Tunasoma the shortest war duniani ilikuwa Anglo-Zanzibar war, ilichukua dakika 30-45. Huu uzembe mulianza zamani sana ...
According to wewe ndio boring.
Ila according to many ni great history,yani yaonesha Tanzania tumekomaa kidiplomasia.
Ndio maana hata ukitizama kauli zetu za ujamaa sio kama ninyi za ukorofi.
Mathalan Mtz akienda kupata huduma utasikia "samahani nipatie kitu fulani ama huduma fulani" ,Mke sasa "NIPE HIVI NA VILE".
Kama ugomvi!!!
Yani inaonekana sisi tulipevuka kiasi cha kupata uhuru kidiplomasia ila ninyi mwaonekana akili sifuri nguvu mbele.
 
Juzi na sisi tumechukua loan ya IMF . I hope haina condition za Ajabu . Plus Tanzania ijitahidi isije ikachukua Eurobond
Uko sahihi kabisa, mama anaupiga mwingi sana kwenye mikopo. Juzi akakopa 2.5bn dollars S.korea na sahii ameingia IMF. Tukizungumza debt to Gdp ratio ya Tanzania imefika 50%, Chadema wanakazi kubwa kuikomboa Tanzania
 
Copy and paste merchant Nyerere cannot be mentioned in the same sentence with freedom fighters like che guevara, Jomo kenyatta, Fidel Castro etc he is a western stooge like Nelson Mandela.
Kumtaja Jommo Kenyatta orodha moja na Fidel Castro ni MATUSI kwa Fidel Castro.
Matatizo waliyopitia Cuba ingelikua ni Kenya msingechomoka jino moja.
Kenya mmepitia changamoto za kawaida sana za kuutafuta uhuru,diplomasia ingezaa matunda zaidi.
Ila Cuba iweke kando brother.
 
Kwa huu upuuzi,naunga mkono Gen Z kuendelea Kupeleka moto 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C89ozMXIij6/?igsh=MTRzbmplN20xNW0wMg==

Nchi inanuka Madeni harafu wao wanaongezeana salary?

Wakundustan wana idadi ya watumishi wa umma zaidi ya million 1 na wote wanalipwa kwa mikopo ya IMF na WB since Kunyaland ni failed state, wanapanua midomo huku kila siku kwamba kila ghorofa linalojengwa Kunyaland linakua full occupied hata before completion kumbe ni pesa za IMF hizo 😁😁😁 wacha walipie sasa
 
Uko sahihi kabisa, mama anaupiga mwingi sana kwenye mikopo. Juzi akakopa 2.5bn dollars S.korea na sahii ameingia IMF. Tukizungumza debt to Gdp ratio ya Tanzania imefika 50%, Chadema wanakazi kubwa kuikomboa Tanzania
Unaota? 😆😆😆😆.Debt to GDP ratio Iko chini ya 40%,Lowest in Sadsc na EAC.

Debt yetu ni Trilioni 92 tuu Hadi juzi wanaposoma Bajeti.

Kundustan sana Debt to GDP ratio ni 75% 🤣🤣🤣 na hamna pesa ya kulipa 😆😆
 
Kumtaja Jommo Kenyatta orodha moja na Fidel Castro ni MATUSI kwa Fidel Castro.
Matatizo waliyopitia Cuba ingelikua ni Kenya msingechomoka jino moja.
Kenya mmepitia changamoto za kawaida sana za kuutafuta uhuru,diplomasia ingezaa matunda zaidi.
Ila Cuba iweke kando brother.
Beberu alikuwa akiangusha mabomu kutoka kwa ndege kwa ngome za mau mau. Hilo sio jambo dogo mzee, na tulikwenda nao mpaka wakakubali kutuwachia uhuru. Settler colonies kama SA na Zim walitawala mpaka 90s, lakini huku tuliwakaanga vibaya sana kutokana na rebellions za Mau Mau.
gettyimages-781784277-612x612.jpg
 
Back
Top Bottom