President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Kiutafutaji maisha nani atatoka Dar akatafute maisha Zanzibar!?Zanzibar ni kubwa kuliko dar slum, wakati huo ina idadi ya watu 1M ilhali dar ina watu 8M. Wapi kumebanana, in short mmepigwa 😂😂😂
Only stupid kama wewe unaweza kung'ang'ania kutafuta ardhi Zanzibar na kuacha vast land iliyopo Tanzania bara. 🤣 🤣 🤣 🤣 Yaani ukimbia 945,087 km² ukajibane kwenye 2,461 km²? are you stupid or something. Umeshindwa kushiba wali wa kwenye pipa utashiba wa kwenye kijiko? 🤣🤣🤣🤣Zanzibar ni kubwa kuliko dar slum, wakati huo ina idadi ya watu 1M ilhali dar ina watu 8M. Wapi kumebanana, in short mmepigwa 😂😂😂
Nikiangalia ile shoddy job mmturuki amefanya kwenye embankments na Nikiangalia mizigo ya Dar port nabaki nikicheka tu manake na jua within 1 year tutakuwa tume elewana. Alafu Nikiangalia izo speed za bullet train nabakia kuona ni facelift tu. Hizo 700km za Sgr ya Kenya ilitosha kuishinda ile ya mhabeshi mwenye mizigo mingi. Usiombe kabisa tufike malaba manake itakua catastrophic kwa Tanzania.Kati ya sisi na ninyi nani kapigwa!?
Reli yenu ya SGR inafika hata 700km!?
Ila tizameni bajeti mliotumia pia tizameni lokomotives mnazotumia vinalingana!?
Kubalini SGR mmepuyanga tu mazeh.
Zanzibar is only for tourism. Ukawe na ardhi huko zanzibar unataka kujenga Hotel? Wakenya kichwani nati zimevunjika.Kiutafutaji maisha nani atatoka Dar akatafute maisha Zanzibar!?
Hao wazanzibari wenyewe wanahama Zanzibar kwa wingi kuja Dar na mikoa mingine kuishi na kutafuta maisha.
Ndoto za mchana hizi.Nikiangalia ile shoddy job mmturuki amefanya kwenye embankments na Nikiangalia mizigo ya Dar port nabaki nikicheka tu manake na jua within 1 year tutakuwa tume elewana. Alafu Nikiangalia izo speed za bullet train nabakia kuona ni facelift tu. Hizo 700km za Sgr ya Kenya ilitosha kuishinda ile ya mhabeshi mwenye mizigo mingi. Usiombe kabisa tufike malaba manake itakua catastrophic kwa Tanzania.
Mara kwa mara huenda kule.Zanzibar is only for tourism. Ukawe na ardhi huko zanzibar unataka kujenga Hotel? Wakenya kichwani nati zimevunjika.
Tatizo wakenya ni wapuuzi sana hawana plans. Sisi Tanzania kila mkoa umewekwa kwaajili ya jambo fulani. Kila mkoa upo na activity yake unique. Ndio maana watanzania wanasafiri sana ndani ya nchi yao.Mara kwa mara huenda kule.
Kule ni pa kupumzika ila sio kutafuta maisha.
Kutafuta maisha kule kuko unsuitable kabisa.
Hujakosea mkuu.Tatizo wakenya ni wapuuzi sana hawana plans. Sisi Tanzania kila mkoa umewekwa kwaajili ya jambo fulani. Kila mkoa upo na activity yake unique. Ndio maana watanzania wanasafiri sana ndani ya nchi yao.
So you are accepting that Tanganyikans are second class citizens katika muugano. That you can only visit Zanzibar but not own land there. How are you contented with such open discrimination. Mzee kenyattas words have a lot of meaning, Tanganyikans are docile creatures who were given independence freely without arms.Zanzibar is only for tourism. Ukawe na ardhi huko zanzibar unataka kujenga Hotel? Wakenya kichwani nati zimevunjika.
So a Tanganyikan cannot opt to own land to build a house in Zanzibar. The liberation of Africa is not complete until CCM is removed. A Zanzibari can own land in Tanganyika and vie for presidency but a Christian cannot be seen eating in Zanzibar during Ramadan. What a backward katiba. I know you are poor but what about others who are willing to build there, your property will be under CCM 😂😂😂Mara kwa mara huenda kule.
Kule ni pa kupumzika ila sio kutafuta maisha.
Kutafuta maisha kule kuko unsuitable kabisa.
Mzee Zanzibar hakuna kitu cha maana huko zaidi ya Tourism. Everything wanategemea kutoka Tanzania bara.So you are accepting that Tanganyikans are second class citizens katika muugano. That you can only visit Zanzibar but not own land there. How are you contented with such open discrimination. Mzee kenyattas words have a lot of meaning, Tanganyikans are docile creatures who were given independence freely without arms.
Why you want to own land in a tiny space? Uachane na vasty land ukajifiche, kwani wewe ni kunguni? 🤣🤣🤣🤣So a Tanganyikan cannot opt to own land to build a house in Zanzibar. The liberation of Africa is not complete until CCM is removed. A Zanzibari can own land in Tanganyika and vie for presidency but a Christian cannot be seen eating in Zanzibar during Ramadan. What a backward katiba. I know you are poor but what about others who are willing to build there, your property will be under CCM 😂😂😂
Mbona unachanganya mambo!?So a Tanganyikan cannot opt to own land to build a house in Zanzibar. The liberation of Africa is not complete until CCM is removed. A Zanzibari can own land in Tanganyika and vie for presidency but a Christian cannot be seen eating in Zanzibar during Ramadan. What a backward katiba
Kiufupi mkuu kumiliki ardhi Zanzibar Mswahili anaruhusiwa ila asilimia KUBWA hawapendelei kutafuta maisha Zanzibar.Why you want to own land in a tiny space? Uachane na vasty land ukajifiche, kwani wewe ni kunguni? 🤣🤣🤣🤣
Anataka kulazimisha vitu ambavyo havipo. Mama Ngina amewaaminisha 🤣 🤣 🤣 🤣Mbona unachanganya mambo!?
Mswahili anaweza kumiliki ardhi na kujenga Zanzibar.
Kuna waswahili Zanzibar wamejenga nyumba na wamefungua biashara.
Ila ni wachache kwasababu Zanzibar ina potential ndogo kwenye masuala ya uwekezaji ama utafutaji.
Huko kuhusu kula mchana limeingiaje!?
Mbona kuna watalii hula mchana na ma restaurant makubwa yanafunguliwa vizuri tu!?
Watu wanaenda Zanzibar kula bata tu. Au mtu anaweza kwenda Zanzibar kufanya biashara za Kitalii.Kiufupi mkuu kumiliki ardhi Zanzibar Mswahili anaruhusiwa ila asilimia KUBWA hawapendelei kutafuta maisha Zanzibar.
We kaa pita mtaani katika mishe uone mtu anafikiria kwenda kutafuta maisha wapi halafu usikie kama ataitaja Zanzibar.
Hakuna mtu asiyejua kwamba hakuna kitu cha maana Zanzibar kando na Tourism 😂😂😂Mzee Zanzibar hakuna kitu cha maana huko zaidi ya Tourism. Everything wanategemea kutoka Tanzania bara.
Kuanzia Afya, Education, Chakula I mean Everything.
Also Tanzania hatuna hizo classes eti first Class or Second Class. Hayo mambo ni ya kwenu tu.
Watu wana own vitu vya maana lakini wanaishi maeneo ya kawaida.
Change your mentality ndio utawafahamu watanzania. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Sisi huku hatuna mambo yenu ya ubaguzi. Tanzania is not Kenya.
Hakuna MTU ana own land Tanzania, ardhi yote iko chini ya serekali, wanachofanya ni kukupa ardhi lakini sio kumiliki kwasababu siku wakitaka ardhi unalipwa fidia unakaa pembeni, tofaut na kwenu, kwamba ardhi inamilikiwa na MTU siku mradi ukitaka kupita ww unataja pesa yoyote uitakayo 😅😅😅😅So a Tanganyikan cannot opt to own land to build a house in Zanzibar. The liberation of Africa is not complete until CCM is removed. A Zanzibari can own land in Tanganyika and vie for presidency but a Christian cannot be seen eating in Zanzibar during Ramadan. What a backward katiba. I know you are poor but what about others who are willing to build there, your property will be under CCM 😂😂😂