Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Beberu alikuwa akiangusha mabomu kutoka kwa ndege kwa ngome za mau mau. Hilo sio jambo dogo mzee, na tulikwenda nao mpaka wakakubali kutuwachia uhuru. Settler colonies kama SA na Zim walitawala mpaka 90s, lakini huku tuliwakaanga vibaya sana kutokana na rebellions za Mau Mau. View attachment 3032693
Nakwambia hivi Kenya mlichopitia kidogo.
We unajua Cuba alikaliwa kooni na nani!?
Cuba toka anausaka uhuru lile Sekeseke hadi leo linamtafuna.
Usifananishe Kenya na Cuba mister.
S.A walikua wanadai sehemu ya uhuru,maana kama mtawala alikua Uingereza ambaye aliachia kijiti kwa Boers.
Boers walijiona wana haki ya kuendesha S.A.
Na S.A walitaka wajiendeshe wenyewe.
 
Kule kuna Ma Gangstar Huwa hawacheki na kima ,ndio maana USA amekacha akayasikizia haya mazombie yasiyojitambua ya huko Kundustan 🤣🤣
Kule wapelekwe wana jihadi tu.
Kule umpeleke mtu kama Taliban miezi kadhaa tu order inarudi.
Ila sio kupeleka jeshi la watu wanaoogopa kufa.
 
Unaota? 😆😆😆😆.Debt to GDP ratio Iko chini ya 40%,Lowest in Sadsc na EAC.

Debt yetu ni Trilioni 92 tuu Hadi juzi wanaposoma Bajeti.

Kundustan sana Debt to GDP ratio ni 75% 🤣🤣🤣 na hamna pesa ya kulipa 😆😆
Hayo madeni mawili nimetolea mfano ni ya juzi kati na hayako katika idadi iliotolewa na serikali. Right now debt to Gdp ratio imefika 50% vumbistan. Kenya tumefika 67%, pole pole mnakaribia....
 
Hayo madeni mawili nimetolea mfano ni ya juzi kati na hayako katika idadi iliotolewa na serikali. Right now debt to Gdp ratio imefika 50% vumbistan. Kenya tumefika 67%, pole pole mnakaribia....
Madeni tunayomopa Yako kwenye Bajeti,hatukopi Nje ya kilichoangwa.

Mkopo wa Korea ni concessional itatolewa ndani ya miaka 5 na riba yake ni kiduchu ,itaanza kulipwa baada ya miaka 25 huko.

Kundustan lipeni Madeni ya watu 😆😆😁
 
Historia ya Tanzania independence ni fupi na very boring. Sijui maji maji rebellion jamaa wanajipaka maji ya kichawi kuzuia risasi.
Tunasoma the shortest war duniani ilikuwa Anglo-Zanzibar war, ilichukua dakika 30-45. Huu uzembe mulianza zamani sana ...
Wale wa shakahola mwaka jana walikua wanapigania nn?stupidity kunyan 2023 bado mnakua na akili za 1930 huko!
 
Back
Top Bottom