Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa kifupi kabisa. Sitaki utuondoe kwenye mada nzito ya kujadili security service ya Kenya how weak is.

Unaleta discussions za kitoto. Tuongelee kwanza issue ya Ruto na Msaidizi wake. Kwanini wanapambana kwenye vitu vya msingi.
Mdogo wangu, kama lugha rahisi kama kiswahili inakupiga chenga hakuna haja ya kusonga mbele kwenye mambo makubwa kama security.
 

Mm naendelea kuwaombea kwa Mungu wazidi kuuwana na wazidi kuharibu kila kitu ili serikali yao ielewe machungu wanayopata wakenya, yani mwaka huu hatoki mtu, ikishindikana kabisa basi hata mauaji ya halaiki yatokee tu ili serikali ijue jinsi gn wakenya wanaishi maisha ya hovyo zaidi duniani. Ila sisi watanzania tuendelee kujenga nchi.
 
Hawa hata hela ya AFCON hawatakua nayo, budget ndio imecollapse hivyo na wasitegemee watalii wala FDI kwa miaka mitatu ijayo, hata ile mikataba ya uongo na kweli waliosaini na Biden ndio imeota mbawa hivyo, kilichotokea jana hakuna investor mwenye guts za kuja kuwekeza mabilioni maeneo ambayo wabunge wanapigwa kama vibaka hakuna usalama 😂😂😂😂
Hawatoandaa Afcon piga ua.
 
Mdogo wangu, kama lugha rahisi kama kiswahili inakupiga chenga hakuna haja ya kusonga mbele kwenye mambo makubwa kama security.
Vilevile nawapa ushauri, siasa za uhasama haziwezi kuwafikisha popote.

Tulimuona Ruto alivyokuwa anamsumbua Uhuru. Na yeye kibao kimegeuka kwake. Hakuna mtu ataweza kuwasaidia tena. Mmeazisha siasa za chuki. Mpaka mtachinjana ninyi kwa ninyi kisha mtakuja Tanzania tuwasaidie kama tulivyowasaidia nchi nyingi wasiokuwa na adabu katika siasa zao.

Tuliwaona Rwanda, Burundi, Zimbabwe, Angola, SA, Uganda na nchi nyingi walikuja tukawasaidia. Sasa ni zamu ya kenya kuja kupiga magoti.
 
Vilevile nawapa ushauri, siasa za uhasama haziwezi kuwafikisha popote.

Tulimuona Ruto alivyokuwa anamsumbua Uhuru. Na yeye kibao kimegeuka kwake. Hakuna mtu ataweza kuwasaidia tena. Mmeazisha siasa za chuki. Mpaka mtachinjana ninyi kwa ninyi kisha mtakuja Tanzania tuwasaidie kama tulivyowasaidia nchi nyingi wasiokuwa na adabu katika siasa zao.

Tuliwaona Rwanda, Burundi, Zimbabwe, Angola, SA, Uganda na nchi nyingi walikuja tukawasaidia. Sasa ni zamu ya kenya kuja kupiga magoti.
Akili za marehemu za kuchoma vifaranga.
 
Akili za marehemu za kuchoma vifaranga.
Tulifanya hivyo kuwanusuru katika siasa zenu. Tulichoma vifaranga ili kuwaunganisha msigombane.

Kipindi vifaranga vinachomwa mlikuwa na vurugu kubwa sana. Tulipochoma vifaranga tu, mliungana na kuanza kuishambulia Tanzania mkasahau issues zenu.

Kipindi hiki tumeamua kumeza jiwe. Ngoja mchinjane sisi tutakuja kuzika.

Nimekumegea Kidogo za chini ya uvungu
 
Back
Top Bottom