ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Wakenya walifurahia ruto kukaa kwenye kiti cha biden 😅😅😅😅😅
View: https://x.com/BTnewsroom/status/1805612977694953573?t=PjI7ibJKqsTFaYF2K8Ysgw&s=19
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Maneno Mengi mnaendelea kukamuliwa na Kenyatta Family.Hakuna Mkenya alifurahia huo upuzi. Wakenya sii Wabongo kuabudu Rais. Peleka huu upuzi wako Yemen.
Mseven usikubali plz lipa kisasi🤣🤣🤣
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1805869312378368411?t=dai2ztKNpEUyi5TkmFuOMA&s=19
USA ya Africa juzi Tu Mulikua munashangilia ruto kukaa kwenye kiti cha biden🤣🤣🤣🤣Hakuna Mkenya alifurahia huo upuzi. Wakenya sii Wabongo kuabudu Rais. Peleka huu upuzi wako Yemen.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kawaida ya Waarabu kutakia Waafrika mabaya.
Kenya ili uwe maarafu na tajiri ni lazma uwe mwanasiasa nje ya hapo utasugua gaga mpaka zitoe cheche 😂😂😂😂😂😂😂Nayeye kwanini Ruto anaiweka Family yake kwenye Public. Mke na watoto wake wote wapo kwenye public. Hii ni risk kubwa mno ukiwa mnanasiasa.
Sasa SGR inahusika aje na Finance Bill ya Kenya. Wacha kujitafutia relevance mahali haupo. 😀 😀tuliwaambia SGR Tanzania ikianza ku-operate kutawaka moto wakabisha #SGR_TZ Effect#
Nionyeshe post moja tu tukishangilia nifunge account.USA ya Africa juzi Tu Mulikua munashangilia ruto kukaa kwenye kiti cha biden🤣🤣🤣🤣
Modern Countries hawafanyi hivyo. Akiwa Baba ni mwanasiasa family yake inakuwa kimya. Hata baba akichafuka family inabaki safe.Kenya ili uwe maarafu na tajiri ni lazma uwe mwanasiasa nje ya hapo utasugua gaga mpaka zitoe cheche 😂😂😂😂😂😂😂
Hawa police ndio wa kwenda kupigana na gangs za Haiti?
View: https://x.com/city_digest/status/1805838843083477309?t=YWtIjRl2h1f23CvgX0QZkw&s=19