Rhaenyra Targaryen
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 879
- 1,040
Hii ndio Geza Ulole anasema imecause maandamano Kenya. 🤣😂😆SGR yetu mzuri ila miundo mbinu sehemu waweke vizuri.
View attachment 3026444
Hii ndio Geza Ulole anasema imecause maandamano Kenya. 🤣😂😆SGR yetu mzuri ila miundo mbinu sehemu waweke vizuri.
View attachment 3026444
Thank u Al-Jazeera😅😅😅
View: https://x.com/onyarirobert/status/1805844685920903538?t=yv0TilRrJH4WGNa5V6rQfg&s=19
Mwambie huyu Myemeni ichoboy01MIMI NASHANGAA MNASHANGAA WAKENYA.
wakenya wapo tofauti kabisa na Watanzania, Wakenya wanajitambua tofauti na Watanzania.
Utatumia Accounts zako zote. Mpya na za zamani. But the truth is Kenya is a hooligan nation.Wewe unadhani Wakenya ni waoga kama Bongolala?
Siyo kupuuza. Jamaa kaleta huu uzi wiki iliyopita kwenye jukwaa la Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania na akajibiwa vizuri tu. Lakini kaamua kuuanzisha tena na kusema wakenya sijui wanajitambua sijui nini. Sasa swali hapa ni kwa nini kaamua kuleta hizo picha kwa mara nyingine. Lengo ni nini haswa?Wakuu msipuuze huyu jamaa. Raia wengi wagumu kupita kwenye vivuko wako radhi kukata fence. Hapo inaonekana watu wametafuta shortcut wanapita juu ya reli. Na kwasababu wanapita kila siku wanaondoa zile kokoto. TRC inabidi wawe serious wamalizie fence maeneo yote ya mjini na wahakikishe wananchi wanapita kwenye vivuko maalum. Kuna uzi wananchi wa gongolamboto wanalalamika vivuko viko mbali na ni sababau wamezoea tu kuvuka hovyo kila amahali ni wavivu kufuata sehemu maalum. Kama fimbo au faini watandikwe tu watakuja kuleta hasara na kupoteza maisha ya watu kwa ujinga wao.
Sio ww ulisema Kenya ni USA ya Africa 😂😂😂Nionyeshe post moja tu tukishangilia nifunge account.
Picha ya zamani sana hii, hata dedicated lanes for brt hakuna, maghorofa mapya hakuna hapo, wakenya msijidanganye kwa kuweka picha za Tanzania ya kale, Tanzania ya sasa ina treni za umeme msisahau hilo, tumewaacha mbali sana.Jiji kuu eti hehehehe
View attachment 3025816
Jamaa wameumbuka vibaya sana😉😎Sio ww ulisema Kenya ni USA ya Africa 😂😂😂
Nakumbuka mpumbavu wa ukoo wa sadima akishangilia. 😂😂😂Jamaa wameumbuka vibaya sana😉😎
Tunaongelea Kukaa kwa kiti wee Myemeni refugee.Sio ww ulisema Kenya ni USA ya Africa 😂😂😂
Umekasirika. 😆 😆 😆Wanajitambua au ndio mficha maradhi mauti humuumbua 😅😅😅😅😅
Walibakia kudanganya dunia Wana maisha mazuri sijui wako level za singapore haya kiko wapi SASA 😅😅😅😅😅
Nchi ina Hali mbaya kuliko Zimbabwe 😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 SASA hvi Kenya sio tena USA ya Africa au so far USA imewasaidia nnTunaongelea Kukaa kwa kiti wee Myemeni refugee.
Nina furaha ya kutosha mpaka SASA😂😂😂Umekasirika. 😆 😆 😆
Usiue watu na ukweli.😂😂Kuhusu maisha wote hali mbaya tuu.
Ila mimi nazungumzia kuhusu ujinga.
Mostly ya Watanzania ni wa wajinga kuliko wakenya , hii msikatea.
Mimi mwenyewe mbongo pure.
Unajua Capital City ya Yemen?😂😂😂😂😂😂😂😂😂 SASA hvi Kenya sio tena USA ya Africa au so far USA imewasaidia nn
Nina furaha ya kutosha mpaka SASA😂😂😂
View: https://x.com/TheStarKenya/status/1805898923334148497?t=SchSmPaPmylulj7ks0KuCA&s=19