RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,453
- 135,187
Hapo ni wapi ambapo sgr inapita wananchi wanakaa juu ya reli?SGR yetu mzuri ila miundo mbinu sehemu waweke vizuri.
View attachment 3026444
Hapo ni wapi ambapo sgr inapita wananchi wanakaa juu ya reli?SGR yetu mzuri ila miundo mbinu sehemu waweke vizuri.
View attachment 3026444
Unapost reli kipindi cha ujenzi na inaonekana kabisa usehemunya ujenzi 😅😅
Rudi kwenye I'd yako plz 😂
Hapo ni wapi ambapo sgr inapita wananchi wanakaa juu ya reli?
Gongolamboto boss, angalia video hapo juu.Hapo ni wapi ambapo sgr inapita wananchi wanakaa juu ya reli?
Mkuu Watanzania asilimia ngapi wameelimika?? Kati ya 60million?Acha upumbavu wewe wakunya ni wajinga kuliko watanzania. Wangekuwa wanaakili wasingeacha watu wachache wamiliki ardhi na pia kukubali kuishi kwenye slums.
Na pia kwa ujinga wao hupiga kura za kikabila ambazo ndio huwaletea haya matatizo yote.
Hata treni ya sgr mmelipa hela nyingi kuliko uhalisia mnaibiwa left right centre huku mnaona kama sio ujinga ni nini?
Hii Battle ilianza mwaka 2017 sasa hivi ni mwishoni mwa 2024 inaelekea miaka 8 sasa. Tunajua utakuja na akaunti hii kisha utazoea hapa na utafungua nyingine. 🤣 🤣 🤣Gongolamboto boss, angalia video hapo juu.
Ila nimeona this week wameziuia kasehemu tuu.
Izo picha nilipiga last week
Acha upumbavu wewe wakunya ni wajinga kuliko watanzania. Wangekuwa wanaakili wasingeacha watu wachache wamiliki ardhi na pia kukubali kuishi kwenye slums.
Na pia kwa ujinga wao hupiga kura za kikabila ambazo ndio huwaletea haya matatizo yote.
Hata treni ya sgr mmelipa hela nyingi kuliko uhalisia mnaibiwa left right centre huku mnaona kama sio ujinga ni nini?
now we talk ni mudomo wanajua!Acha upumbavu wewe wakunya ni wajinga kuliko watanzania. Wangekuwa wanaakili wasingeacha watu wachache wamiliki ardhi na pia kukubali kuishi kwenye slums.
Na pia kwa ujinga wao hupiga kura za kikabila ambazo ndio huwaletea haya matatizo yote.
Hata treni ya sgr mmelipa hela nyingi kuliko uhalisia mnaibiwa left right centre huku mnaona kama sio ujinga ni nini?
Wakuu msipuuze huyu jamaa. Raia wengi wagumu kupita kwenye vivuko wako radhi kukata fence. Hapo inaonekana watu wametafuta shortcut wanapita juu ya reli. Na kwasababu wanapita kila siku wanaondoa zile kokoto. TRC inabidi wawe serious wamalizie fence maeneo yote ya mjini na wahakikishe wananchi wanapita kwenye vivuko maalum. Kuna uzi wananchi wa gongolamboto wanalalamika vivuko viko mbali na ni sababau wamezoea tu kuvuka hovyo kila amahali ni wavivu kufuata sehemu maalum. Kama fimbo au faini watandikwe tu watakuja kuleta hasara na kupoteza maisha ya watu kwa ujinga wao.Wewe unataka wapite sehemu Ya nn ??
Hio reli inashida gani hebu tueleze 🤣🤣🤣🤣
Hzo picha ni kipindi cha construction kwa SASA hawawez kuruhusu ujinga huoWakuu msipuuze huyu jamaa. Raia wengi wagumu kupita kwenye vivuko wako radhi kukata fence. Hapo inaonekana watu wametafuta shortcut wanapita juu ya reli. Na kwasababu wanapita kila siku wanaondoa zile kokoto. TRC inabidi wawe serious wamalizie fence maeneo yote ya mjini na wahakikishe wananchi wanapita kwenye vivuko maalum. Kuna uzi wananchi wa gongolamboto wanalalamika vivuko viko mbali na ni sababau wamezoea tu kuvuka hovyo kila amahali ni wavivu kufuata sehemu maalum. Kama fimbo au faini watandikwe tu watakuja kuleta hasara na kupoteza maisha ya watu kwa ujinga wao.
kwahiyo unataka kusema masanja hataweka cctv hapo?Wakuu msipuuze huyu jamaa. Raia wengi wagumu kupita kwenye vivuko wako radhi kukata fence. Hapo inaonekana watu wametafuta shortcut wanapita juu ya reli. Na kwasababu wanapita kila siku wanaondoa zile kokoto. TRC inabidi wawe serious wamalizie fence maeneo yote ya mjini na wahakikishe wananchi wanapita kwenye vivuko maalum. Kuna uzi wananchi wa gongolamboto wanalalamika vivuko viko mbali na ni sababau wamezoea tu kuvuka hovyo kila amahali ni wavivu kufuata sehemu maalum. Kama fimbo au faini watandikwe tu watakuja kuleta hasara na kupoteza maisha ya watu kwa ujinga wao.
Asante kwa hasira ukimaliza Rudi kwenye ACC yako plz 🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 3026499View attachment 3026500View attachment 3026501
Kwa hio unaona sawa na sisi kuishi hivi??