Huwa kwa kawaida si jibizani na wajinga lakini leo nitajisamehe, hio clip ya ruto akiteta kuhusu IGP ni ya wakati yuko deputy president na haihusiani na matukio ya Gen Z. Pili, kenya kuna separation of powers, kila institution inajiongoza kivyake bila kuingiliwa na executive. Kwahio Rigathi akiteta kuhusu NIS ni sawa na Trump akiteta kuhusu FBI. Kenya ndio nchi pekeake Judiciary inaweza amuru Kura zirudiwe bila uwoga jambo ambalo judiciary ya marekani ilishindwa 2000 Bush Vs Al gore. Tuna katiba moja nzuri zaidi duniani.