Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi nimeongelea cost of living, yeye mwenye akaleta Purchasing Power eti wako na high purchasing power kisa cost of living yao Iko chini. Nikamwambia purchasing power na cost of living ni vitu viwili tofauti yeye ananiletea tofauti ya PPP ya nchi. Sasa namwambia pia PPP na purchasing power ni vitu viwili tofauti anasema tulimaanisha PPP sahii tunageuza. Tulimaanisha na nanai? Si yeye mwenyewe ameleta PPP into the conversation? Hii ndio shida ya kujiweka kwa mijadala huelewi.😂😂😂
Tuambie. Kwenye uchumi Cost of Living inapimwa na indicator gani? 🤣 🤣 🤣 🤣 Education System ya Mama Ngina imekula ubongo wa wakenya.
Kwa kifupi
Hakuna indicator kwenye uchumi inaitwa Cost of Living
 
Wewe ni mtu mzima mpumbavu. 📌

🤣🤣🤣 mkenya aliewahi kuwa mtu muungwana na yupo tayari kujua na kujifunza maendeleo ya nchi nyingine ni Tonny tu..

Narudia tenw, wewe ni mpumbavu..
Tony254 ndiye mkenya pekee aliyekuwa na characteristics za mtanzania, alitaka kuwa expose wakunya humu ndani wote wakafyata na waliogopa sana siku hiyo, mmoja wapo ni huyo msenge Don YF
 
Hamjui lolote...
weupe vichwani, mnashindwa kutetea hoja kwa hoja...

Ipo wazi Tanzania gharama ya maisha ipo chini na wewe mwenyewe ulikiri hilo...
Shuleni mlienda kukariri na kusomea ujinga..

Wali nyama Dsm ukila kwa 1500 Tshs, halafu ukaenda Nairobi ukala kwa Tshs 3000 Kshs, hapo utasema Kenya ina purchasing power kubwa?
Kumbe nyie ni maboga..🤣:OMEGALAUGHING::forsenLaughingAtYou::LaughHard::KEKWlaugh:
Ukiona wanakuambia ati go back to school ujue unapiga msumari penyewe, shikilia hapo hapo. 😂😂😂
 
Vyuma vya Dodoma

20240612_154744.jpg
20240612_153810.jpg
 
Ngoja miweze kuchanganua Usafiri wa Treni ya umeme kutoka Dar to Dodoma kimahesabu zaidi

1. Treni hizi zinauwezo wa kubeba abiria 500 kwa mara moja
2. Tumeambiwa Nauli ya kwenda dodoma ni Tsh 31,000
3. Cost ya Umeme kutoka Dar to Dodoma ni Tsh 1,200,000
4. Other operational cost Tsh 2,000,000

MAHESABU

Tuchukulie wastani wa Abiria 300 ndio wanaoenda dodoma

Route 1: *300 x Tsh 31,000 = Tsh 9,300,000 *
Operational Cost Tsh 2,000,000 + 1,200,000 = 3,100,000
NET Per Route: Tsh 6,200,000


Tukisema kwa kuanzia kila baada ya Saa moja treni moja inatoka Dar na nyingine inatoka Dodoma.
It means kwa lisaa limoja tupo na treni mbili zinaanza safari.
Kwa masaa 12 tutakuwa na Route:

Total Routes per Day: 12 x 2 = 24

Total Revenue Per Day kutokana na Treni za Abiria:

TOTAL NET REVENUE 6,200,000 x 24 =Tsh 148,800,000/Day

*Historical Askari Monument being demolished to allow BRT *

View attachment 3014755
Wanampeleka wap huyo? Au watamweka mahali pengine
 
Purchasing power na PPP nani hafahamu ni tofauti, mlimaanisha PPP baadae mnabadili na kusema ni PP, upumbavu wa kusema kutokua na mall ni ishara ya kuwa na PP ndogo ni ujinga, hakuna uhusiano, moja kwa moja ilimaanisha PPP, kwamba malls hakuna kwa sababu watu hawana uwezo ku purchase...

Mnaandika ujinga..

Hili lingine linakana halikuwa linamaanisha PPP bali individual spending... yani hamueleweki...
Wewe hujielewi na pia hujui tofauti kati ya PPP na spending power. I was discussing power lakini wewe na ujinga wako ukakuja na PPP. Ama wewe sio yule aliyerukia discussion yenye haelewi?
 
Sasa wewe ndio headboy ya wapumbavu humu level yako ni vipicha na kunifunza kiswahili., relax, sehemu yako tushaijua.., leta mapicha na copy pastes..., tutaelewana.., hehehe
Na kukula takataka😂😂
 
Huyo NairobiWalker ni muongo na mbishi sana. Hizo picha anazodai ni kigoma mjini sio kigoma mjini bali ni kijiji fulani wilaya ya Manyovu km 50 kutoka kigoma town.

View: https://youtu.be/sIpzkACnoAw?si=B7OAx5i6YySYQDFv

Mzungu baada ya kufika kigoma aliona haya. Mpaka anasema ndo mara ya kwanza in a while kuona proper city, anashangaa Traffic lights ( Nairobi tu traffic light za kuhesabu) , street roads ziko paved, hotel in AC nk.
Nimescreenshot hapa kuleta ushahidi.

Hapa anasema ndo amefika in a true African city
Screenshot_20240612-163041~2.png


Hapa kasema kuona traffic lights in a while
Screenshot_20240612-163110~2.png




Hapa anashangaa kukuta AC kigoma
Screenshot_20240612-163355~2.png





Hapa anashangaa hata street roads ziko paved
Screenshot_20240612-163147~2.png


Hapa anapata best view kabisa ya lake Tanganyika
Screenshot_20240612-163239~2.png


 
Huyo NairobiWalker ni muongo na mbishi sana. Hizo picha anazodai ni kigoma mjini sio kigoma mjini bali ni kijiji fulani wilaya ya Manyovu km 50 kutoka kigoma town.

View: https://youtu.be/sIpzkACnoAw?si=B7OAx5i6YySYQDFv

Mzungu baada ya kufika kigoma aliona haya. Mpaka anasema ndo mara ya kwanza in a while kuona proper city, anashangaa Traffic lights ( Nairobi tu traffic light za kuhesabu) , street roads ziko paved, hotel in AC nk.
Nimescreenshot hapa kuleta ushahidi.

Hapa anasema ndo amefika in a true African cityView attachment 3015572

Hapa kasema kuona traffic lights in a while
View attachment 3015566



Hapa anashangaa kukuta AC kigoma
View attachment 3015565




Hapa anashangaa hata street roads ziko paved
View attachment 3015568

Hapa anapata best view kabisa ya lake Tanganyika
View attachment 3015571


Yule kibera walker ni mshenzi na ni muonge wa kutupa yule pumbavu zake. 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom