President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
SERIKALI KUAJIRI WATUMISHI 12,000 WA KADA YA UALIMU Naibu Waziri, @ortamisemitz
anayeshughulikia Elimu Mhe. Zainab Katimba amesema mwaka 2023/24, serikali inatarajia kuajiri walimu 12,000 wa masomo mbalimbali wakiwemo wa sayansi ambao watapangiwa vituo vya kazi katika maeneo yenye upungufu mkubwa ikiwemo Halmashauri ya Wilaya ya Meatu.
Wakenya Ajira lini
anayeshughulikia Elimu Mhe. Zainab Katimba amesema mwaka 2023/24, serikali inatarajia kuajiri walimu 12,000 wa masomo mbalimbali wakiwemo wa sayansi ambao watapangiwa vituo vya kazi katika maeneo yenye upungufu mkubwa ikiwemo Halmashauri ya Wilaya ya Meatu.
Wakenya Ajira lini