Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Danganya wajinga. Hii ni smocha ya 110😂😂😂.

Na bill sio wewe umelipa, umelipiwa na msichana😂😂😂
Ndio kwanza hilo neno smocha naskia kwako 🤣🤣🤣 ilibidi niingie Google kuona ni nini unazungumzia.

Wewe ni shamba boy, naelewa naelewa, 🤣🤣🤣
 
Kumbe we ni npunʞɯ eti?
mi naongelea PPP.. in compare currency ya nchi moja na nyingine through basket of goods, uwezo wa kununua bidhaa..
Nani alikuwa anaongelea PPP hapa? Kumbe ulirukia discussion yenye hujui imetokea wapi na inaelekea wapi?😂😂😂

Ama wewe anytime umeona the phrase purchasing power mind Yako inaruka kwa currency? Mimi nilikuwa napngelea individual spending/purchasing power.
 
Wewe unabweka tu. Unajua hata maana ya PPP? 🤣 🤣 🤣 🤣 Education System ya Kenya ni ya kijinga sana.
PPP is not Exchange rate.
Stupid Mama Ngina
Mwendazimu wewe, leta picha za Kibera na njaa, anything that requires brain sio yako boya.., ona ulivyo fala.. a simple expalnation yenye ata mtoto wa chekechea ataelewa wewe imekushinda, idiot, hehehehe..,
 
This is because the demand for items in Dar ziko chini kuliko supply. In Kenya the demand is higher than the supply.
We elezea demand and supply lakini ndio maana ya PPP kuwa kubwa.. ngoja nikupe mfano we kiazi..
info-purchasing_power_parity-mobile.png
 
Ndio kwanza hilo neno smocha naskia kwako 🤣🤣🤣 ilibidi niingie Google kuona ni nini unazungumzia.

Wewe ni shamba boy, naelewa naelewa, 🤣🤣🤣
Kwani ulikuwa unakula kitu hata hujui ni nini? Kweli umaskini ni garama😂😂😂.

Or I might be crucifying you Bure na hata hiyo food sio wewe ulikula?😂😂😂
 
Nani alikuwa anaongelea PPP hapa? Kumbe ulirukia discussion yenye hujui imetokea wapi na inaelekea wapi?😂😂😂

Ama wewe anytime umeona the phrase purchasing power mind Yako inaruka kwa currency? Mimi nilikuwa napngelea individual spending/purchasing power.
Yani we ni kalio kabisa, sasa PPP na individual spending/purchasing power kuna utofauti?
Huko shuleni mlienda kusomea ujinga?
 
Kumbe we ni kiazi, nchi inayoongoza duniani kwa Purchasing power ni China, gharama ya maisha kwao ipo chini, hio ndio maana ya kuwa na purchasing power kubwa, njoo na 100 USD uje Dsm, halafu ukimaliza chukua hio hio 100 USD uende Nairobi, utagundua huduma zile zile ulizopata Dsm unakwenda gharamika zaidi ukiwa Nairobi, tofautisha GDP per capita na Purchasing power....

Huna lolote unafahamu..
Go back to school.
 
Mwendazimu wewe, leta picha za Kibera na njaa, anything that requires brain sio yako boya.., ona ulivyo fala.. a simple expalnation yenye ata mtoto wa chekechea ataelewa wewe imekushinda, idiot, hehehehe..,
Wewe mtu mzima mpumbavu kwahiyo unakubaliana na huyo ndugu yako tahira kwamba Kipoison iko na money circulation kubwa kwasababu kuna malls na showrooms.? 🤣🤣🤣 nataka kujua kutoka kwako.
 
Mwendazimu wewe, leta picha za Kibera na njaa, anything that requires brain sio yako boya.., ona ulivyo fala.. a simple expalnation yenye ata mtoto wa chekechea ataelewa wewe imekushinda, idiot, hehehehe..,
Una uhakika unataka nilete picha za Flying toilets za Kibera au unatania tu? 🤣🤣🤣🤣 Watu hawana hata vyoo, wanakunya kwenye mifuko halafu unaongelea PPP. PPP inamgusa kila mtu. Per Capita is just a ratio.
Pimbi wewe
 
Purching power ya upuuzi, Unaelewa maana ya purchasing power?
Mwenzako hapo juu kuna comment aliandika Tanzania cost of living ipo chini, wewe unakuja kusema purchasing power ya Tz inazidiwa na Kenya, hivi nyie mnajielewa kweli? hamjui hata mnazungumza nini...

Nchi yenye purchasing power kubwa gharama ya maisha huwa inakuwa chini..
Linganisha price of goods and services in countries with bigger purchasing power na taifa fukara kama Tanzania kisha uje.., then discuss the impact of the forces of supply and demand on prices for commodities and services.., and what factors pushes up demand?.., wacha ujinga kijana, tafuta elimu..,
 
Or I might be crucifying you Bure na hata hiyo food sio wewe ulikula?😂😂😂
🤣🤣🤣 kumbe pia inakuuma.? 🤣🤣

OK kumbe ni mshamba hata vyakula hujui.? Tumia Google kuona shawarma ni nini.. then comeback we discuss. 🤣🤣🤣
 
We elezea demand and supply lakini ndio maana ya PPP kuwa kubwa.. ngoja nikupe mfano we kiazi..
info-purchasing_power_parity-mobile.png
Mbona unaforce discussion yenye haiko? Nobody is discussing about PPP here. The main discussion hapa ni Spending power of an individual i.e how much money do you have? How much can you spend without feeling a pinch? Are you able to purchase luxury items on a regular basis?
 
Kuna mtu nimeona anasema Arusha haina showrooms za magari!!!!!Huyu mtu akili zake hazitumiki sawa sawa.
 
We elezea demand and supply lakini ndio maana ya PPP kuwa kubwa.. ngoja nikupe mfano we kiazi..
info-purchasing_power_parity-mobile.png
Hicho ni Kiwiliwili kimevishwa boga kichwani mzee. Unajadiliana na the most hopeless people in the universe. 🤣 🤣 🤣. Nilikukaribisha kwa mikono miwili. Ni kazi kwako sasa.
 
🤣🤣🤣 kumbe pia inakuuma.? 🤣🤣

OK kumbe ni mshamba hata vyakula hujui.? Tumia Google kuona shawarma ni nini.. then comeback we discuss. 🤣🤣🤣
Niumie because of smocha ya 80 bob and coke ya 30bob?😂😂😂😂

Last year ulikuwa unaringia watu kula rice, leo unaringia kula smocha😂😂😂.

Tafuta pesa ukule vitu vya maana kijana.
 
Go back to school.
Hamjui lolote...
weupe vichwani, mnashindwa kutetea hoja kwa hoja...

Ipo wazi Tanzania gharama ya maisha ipo chini na wewe mwenyewe ulikiri hilo...
Shuleni mlienda kukariri na kusomea ujinga..

Wali nyama Dsm ukila kwa 1500 Tshs, halafu ukaenda Nairobi ukala kwa Tshs 3000 Kshs, hapo utasema Kenya ina purchasing power kubwa?
Kumbe nyie ni maboga..🤣:OMEGALAUGHING::forsenLaughingAtYou::LaughHard::KEKWlaugh:
 
Back
Top Bottom