Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yenye mwenyewe kasema ni village, tena very remote lakini naona wapo advanced zaidi ya naislum na Moyale CBD
View attachment 3015602
Hao wakenya nafanya nao kazi. Ukweli wanaujua kuwa Tanzania iko far better and developed kuliko Kenya. Lakin online hawawez kutamka wazi na huwa wanajificha kwenye fake Cooked Data.
Lakin ukikutana nao live wanasema kabisa Tanzania iko far better
 
TANZANIA, MAREKANI WAJADILI MADINI MKAKATI

Dkt. Kiruswa awavutia kuwekeza Sekta ya Madini

Naibu Waziri wa Madini Mhe. Dkt. Steven Kiruswa amekutana na kuzungumza na Naibu Waziri wa Nishati wa Nchini Marekani Mhe. David Turk katika kikao maalumu cha kujadili fursa zilizopo katika Sekta ya Madini hususan Madini Mkakati ambayo yanahitajika sana kwa sasa Duniani huku Tanzania ikiwa imejaliwa aina mbalimbali za madini hayo.

1718209259692.png


1718209322826.png
 
Hujui shawarma kima wewe, nitolee ushamba hapa. ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Wewe ulikula smocha May ukatunza picha hadi wa leo hili uringie watu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Tafuta pesa kijana. Are you aware you are the poorest in this forum?
 
Back
Top Bottom