Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Karatina, Nyeri County

1717486565603.png
 
Wapi wamesema imekuwa funded ya Chinese?
Sijui kama umeielewa ile post uliyoweka... Hebu iandike hapa kwa Kiswahili vile umeielewa... Ukishindwa iweke kwa kijaluo halafu useme ni wapi mchina katoa mkopo... Na ni mkopo wa sh ngapi na kutoka taasisi gani huko China
Huwa wanafosi tufanane, kanchi kao hakana uwezo hata wa kujenga kitu kidogo tu kama uwanja kwa pesa za ndani.
 
Kila gati 300m anamaanisha. Kwani meli huwa na urefu gani? Most of them 150, 190 230m around hizo figures.

Hiyo iko sawa sanaa.. Kila gati inakuwa na urefu wa 300m...
Gati hiyo ina handle post panamax bila shida... Zikiwa 5 na proper handling equipment maana yake tunakuwa Hub hapa ukanda wetu.
 
Back
Top Bottom