NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,976
It's not a comeback. Ni somo. Una mazoea ya kujiweka kwa discussions wakati hakuna unachoelewa. Umeambiwa Kenyan architects and engineers work in Tanzania wewe unadhani wanajenga. Sasa kama huelewi kazi ya engineer ni nini utawezaje kujadiliana kwa mjadala kama huu?
Ni kama upate watu wanapingana kati ya Messi na Ronaldo nani mkali. Wewe humjui Messi humjui Ronaldo ila unang'ang'ania kuwa involved kwa argument sasa unabakia ukisema ''Messi dunks better than Ronaldo''. 🤣 🤣 🤣