Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

In Nairobi, we no longer post such short houses. Maybe 20+ floors
downloadfile-5.jpg

Naislum yenyewe sasa isiyopostiwa ghorofa la chini ya 20 floors!kunyan mngekua mna elimu nzuri huu uzi mngeukimbia maana 80% ya ako kamji chenu ni kituko
 
Na usishangae kuskia hii ni mall yake kwa vile hio mall owner ni msomali😂😂😂
And the fact remains it’s in Kenya and that was the Kenyan National Anthem not Somalia’s … now you know..
 
Jamaa ni fala sana huyo..

Anaona kandarasi imetangazwa na gharama yake sasa analeta habari za mkopo hapa... Atuambie ya talaka stadia wali sign vipi?

Malobabrian endelea kujifunza pole pole.. Usibwatuke bwatuke tu kama bomu la machozi.. Utakosa ndoa uzeekee nyumbani.
Pumbavu mkubwa kama wewe unaandika ushenzi hivo
 
Jamaa ni fala sana huyo..

Anaona kandarasi imetangazwa na gharama yake sasa analeta habari za mkopo hapa... Atuambie ya talaka stadia wali sign vipi?

Malobabrian endelea kujifunza pole pole.. Usibwatuke bwatuke tu kama bomu la machozi.. Utakosa ndoa uzeekee nyumbani.
Kandarasi yenyewe yasema china kafund mradi huo wa dr samia stadium wewe unakuja na ujuaji mwingi unapinga hata nakuletea hizo evidence unadinda unapinga..
Kwanza uwanja wa mkapa ulifundiwa na mchina na huu wa dr samia pia kuna pesa ya mchina hapo hata ukipinga
 
Back
Top Bottom