MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 7,198
- 13,456
Waelezeni wakenya Projects zinaanzia kwenye Soil Testing ndio ujenzi unaanza.
View: https://youtu.be/Q1pyfHcJVB4?si=smJCmUz8ZeC89BNI
Leo Ndio nimejua why majengo yao yanadondoka
Waelezeni wakenya Projects zinaanzia kwenye Soil Testing ndio ujenzi unaanza.
View: https://youtu.be/Q1pyfHcJVB4?si=smJCmUz8ZeC89BNI
Huko kwao mkandarasi kakabidhiwa site, kafanya clearance then kaanza kuchimbua chimbua siku hiyo hiyo. 🤣🤣🤣Leo Ndio nimejua why majengo yao yanadondoka
Tanzania sio Kenya sisi tunajitambua iliyouzwa ni Kenya.Nchi imeuzwa 😅😅😅
Yaani Hadi loani ndogo kama Kundustan mnatembeza bakuli? 😁😁😁👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C7x9mPlKA5L/?igsh=MzIzMG9iamw1aXls
Mwisho wa siku anaefaidi ni msomali 😂😂And the fact remains it’s in Kenya and that was the Kenyan National Anthem not Somalia’s … now you know..
Karibu Ku zoom tuone ww na mzungu aliefunga satellite juu Nani mwenye akili😂😂View attachment 3007880
Sehemu yenye nimemark ni slums prone areas like almost half of dar
Wewe hujui biashara ya ushindani na soko huru?Hiyo shule yenye nyinyi mmeenda mbona mnasumbuka kuleta meli zenu Kenya kufanyiwa service Kwa wenye low level education?
I told you. The East African Boss is in Korea and all over a sudden things change.
View attachment 3007781
Haya KAZI imeanza tena 😂😂😂😂😂
Ruto alikopa 250b ksh kupunguza makalio ya dollar haya kiko wapi??? Hela zote zimekwenda na maji na alionywa Sana na wachumi
From 133.6 to 138 again 👇👇👇
View: https://x.com/TheStarKenya/status/1797865708421865560?t=gD4Lv_AqCkHfnaMxxRAoeQ&s=19
Baadae uje hapa utuambie huyo begger wenu kaondoka na deal ya kiasi gani halafu compare na Tanzania usikimbie lakini.Na bado. Ngoja aanze mikutano hapo kesho ndio ujue tofauti ya Kenya na LDC kama Tanzania.
Tukiaanza kuongelea waarabu walivyoishika uswazistan utakimbia hapa jukwaani.Tanzania sio Kenya sisi tunajitambua iliyouzwa ni Kenya.
Rais wenu kupanda ndege ya mwarabu huku akilipiwa na mwarabu gharama bado uko hapo kibera unakenua meno hujui kama nchi imeshauzwa pamoja na wewe ndani 🤣🤣🤣🤣
Wanakagua mali zao. Hao nyangau kila kitu kinamilikiwa na foreigners kama sio mama.Na usishangae kuskia hii ni mall yake kwa vile hio mall owner ni msomali😂😂😂
Underline hilo neno china funds huu mradi tuone, maneno mengi ya nini we kilaza?Kandarasi yenyewe yasema china kafund mradi huo wa dr samia stadium wewe unakuja na ujuaji mwingi unapinga hata nakuletea hizo evidence unadinda unapinga..
Kwanza uwanja wa mkapa ulifundiwa na mchina na huu wa dr samia pia kuna pesa ya mchina hapo hata ukipinga