Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe hujui biashara ya ushindani na soko huru?
Choice ya kupeleka meli kukarabatiwa ina depend na quoted costs, timeline ya matengenezo sasa kama Songoro marine ana kazi nyingi unataka tupeleke wapi hivyo vikazi vidogo vidogo?
Songoro anaumda Azam marine meli kubwa itakayokuwa inaenda Comoro, pia ana boti nyingi zinazoundwa kwa yard yake asingeweza kupokea order ndogo ndogo za service.
Hebu leta taarifa kwamba sababu kuu ya hizo meli kuja Mombasa Kwa ukarabati ni kutokana na msongamano sangoro marine
 
Hizi picha zinamkondesha Mama Ngina

1717501062829.png


1717501112454.png
 
Riba 0.01% ??
Waache kudanganya, na hakuna kitu cha bure duniani
Kwani hiyo ni Bure? Ukisema wanamdanganya wewe weka ukweli.

Pili Mkopo wa Uviko 19 hauna hata riba na sio mara ya kwanza Tanzania kuchukua concencesional loans.

Hiyo riba ukiitafuta Kwa mda wa miaka 40 sio pesa ndogo itakayorudishwa.
 
Back
Top Bottom