Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1717449792149.png

Sehemu kubwa dareesalaam ni slums
 
Kandarasi yenyewe yasema china kafund mradi huo wa dr samia stadium wewe unakuja na ujuaji mwingi unapinga hata nakuletea hizo evidence unadinda unapinga..
Kwanza uwanja wa mkapa ulifundiwa na mchina na huu wa dr samia pia kuna pesa ya mchina hapo hata ukipinga

Hebu chuchumaa kwanza... Acha kulazimisha kukojoa ukiwa umesimamaa...

Huo uwanja wa Arusha mchina ametoa shilingi ngapi hapo?
 
View attachment 3007880
Sehemu yenye nimemark ni slums prone areas like almost half of dar
Mnafosi tufanane nyie ni wachafu wa asili,maskini wa kutupwa kila siku mnaanzisha slum mpya,mngekua na akili mngeacha kujisifia humu ila ndio kwa elimu yenu ndogo mnaona maisha ya kuishi kwenye nyumba za bati ni sawa
 

Attachments

  • TikTok_7362982298226134278.mp4
    5.4 MB
Back
Top Bottom