Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania bus hostess Kila kitu Tanzania kinafanyika kwa ukubwa

1716120097621.png


1716120169291.png


1716120213923.png



1716120303518.png
 
Shida ni hii hizo stadium tulijenga miaka ya 1970s to 1980s ila cha ajabu tupo 2024 mnajenga vitu vile vile.

Ukitoa Talanta inayojengwa kisasa, hivyo viwanja ulivyoweka humu viko na tofauti gani na hivyo vyetu vya 1970s to 1980s?

Cha kuchekesha tulivyokarabati na kujenga karibuni Amaani, B/Mkapa ni level ambayo hamba hadi msubirie Talanta.

Mgekuanna Level hizo msingekua mnatupigia kelele sijui Daily Dose.

Hata hiyo Arusha stadium mnayoicheka cheka, mlianza kuleta render ya Talanta, baada ya Render ya Arusha kufika mkaishia kuificha kuleta ujenzi.

Ujenzi ukiwekwa mtasemaje?
SGR haijawapa somo kua "kutangulia sio kufika"
Broo, Kulingana nawe hivi viwanja viwili vimefanana? Wacha bhangi buanaa.
45519655_1458167160953432_9010252796099821568_n.jpg

1.jpg


Ukweli ni kwamba viwanja vyenu vyote ni vibovu ukitoa kile mlichopewa kama zawadi na Mchina. Hata hiyo Amaan imejengwa kwa mabati labda kuweka roof ndio kidogo walijaribu but viwanja vyenu ni vibovu. Ukitoa roof hicho kiwanja ni vichekesho.

5.jpg
 
Broo, Kulingana nawe hivi viwanja viwili vimefanana? Wacha bhangi buanaa.
45519655_1458167160953432_9010252796099821568_n.jpg

1.jpg


Ukweli ni kwamba viwanja vyenu vyote ni vibovu ukitoa kile mlichopewa kama zawadi na Mchina. Hata hiyo Amaan imejengwa kwa mabati labda kuweka roof ndio kidogo walijaribu but viwanja vyenu ni vibovu. Ukitoa roof hicho kiwanja ni vichekesho.

View attachment 2994005
Mbona upost Uwanja wa Amani wa zamani mzee.? Kwa muonekano wa sasa wa uwanja wa amani, hakuna uwanja wowote in kunyaland wenye it match Amani stadium.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom