Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eti tulipewa kama zawadi na Mchina?
Kwani hujui Mkapa Stadium ni msaada wa Mchina?😂😂🤣😂😂😂
IMG_0233.png
 
This one in Zanzibar and Mkapa in Dar are the only true stadiums huko kwenu… mbili pekee ..hakuna ingine.. prove me wrong kilaza!..🤣🤣🤣
Ww na CAF Nani anajua zaidi?? 😂😂😂😂

Tanzania kuna 3 modern CAF approved stadiums, Kenya hakuna hata moja na yet kila siku munafanya renovations za kiwendawazimu 😂😂😂😂😂😂

Alaf Leo Malawi inawatoa aibu zenu
 
ATLC has management and financial expert responsible of releasing those Statements. Not ministers, Tanzania is the only county where Ministers release financial statements of parastatals 😂😂🤣
ATCL is 100% owned by government, na air Tanzania iko chini ya wizara na budget yake iko chini ya wizara unataka Nani atoe financial statement kama sio wizara?? Kq inamilikiwa na shareholders wengi akiwemo KLM etc na yet inamiliki ndege tatu chakavu na hasara ya over 13 good yrs hasara ambayo ikikusanywa kwa pamoja munaweza nunua 20 Boeing 737-900 max cash na change inabaki😂😂😂😂😂

Ila kwa vile nyinyi hakuna tofaut na ng'ombe ndio maana hua munaburuzwa na kutandikwa viboko na wachina
 
ATCL is 100% owned by government, na air Tanzania iko chini ya wizara na budget yake iko chini ya wizara unataka Nani atoe financial statement kama sio wizara?? Kq inamilikiwa na shareholders wengi akiwemo KLM etc na yet inamiliki ndege tatu chakavu na hasara ya over 13 good yrs hasara ambayo ikikusanywa kwa pamoja munaweza nunua 20 Boeing 737-900 max cash na change inabaki😂😂😂😂😂

Ila kwa vile nyinyi hakuna tofaut na ng'ombe ndio maana hua munaburuzwa na kutandikwa viboko na wachina
Mwenyekiti hivi viboko vya weekend vinachoma hadi kwenye mfupa 😂
 
Haya sasa twende kazi.

View attachment 2994328

View attachment 2994330


ASFC 2024 | Droo ya michuano ya African Schools Football Championship (ASFC) imefanyika leo visiwani Zanzibar ambapo kwa mwenyeji Tanzania imepangwa Kundi A ikiwa pamoja na Senegal na Uganda upande wa Wavulana.Kwa upande wa wasichana, Tanzania iko Kundi B pamoja na Morocco na Congo, huku kundi A kukiwa na timu za Afrika Kusini, Togo, Gambia na Uganda.Michuano hii inaanza rasmi kutimua vumbi Mei 21 na kuhitimishwa Mei 24 visiwani Zanzibar, na kila kitu utakipata LIVE #AzamTV
Mbona siwaoni nyang'au kwenye hiyo orodha hapo?😎
 
ATLC has management and financial expert responsible of releasing those Statements. Not ministers, Tanzania is the only county where Ministers release financial statements of parastatals 😂😂🤣
ATC manager ndio anakuja bungeni kujibu maswali ya sector ama ni minister?
 
Huko tulishatoka mzee. This is old news. Jipange uje upya.
Tanzanians are not talking about issues of building bridges and roads, these are issues of poor countries like Kenya. We in Tanzania are talking about mega projects
Which mega project impacts on the livelihood of every citizen than good quality roads? Unafikiri kila mtu anatumia sgr? Pumba wewe
 
Wewe akili yako inachenga, mulifanya renovation two years ago wakaja CAF kufanya ukaguzi muka feli SASA munaenda another renovation baada ya kupewa maelezo tena na ushahidi ninao 🤣🤣🤣🤣

Kubali kataa watu wamekula pesa za renovation 😂😂😂😂😂😂
Kama ni kweli wamekula basi hawajala madafu😂😂
 
Unaweza post uwanja wowote from Kenya wenye ni true Stadium.? Wemye at least we can compare it to our stadias.(Amani stadia and Lupaso stadi)? 🤣🤣
Sama Boy… what you don’t understand is there are almost 40 new stadiums being constructed all over Kenya at county levels… we post some of them here …. When all is done , we will have like 30 or more CAF and FIFA approved venues… whereas you live with your 3 … oops I mean 2 real stadiums…. Otherwise prove to me of any stadium projects ongoing in Bongo like it’s happening in Kenya….. tik tok… am waiting..🤣🤣.. and that’s the difference between you and us.. though I know probably next year you will copycat us as usual and start building regional stadiums against a broke budget just to make a point… you would cut your nose to spite your face because of Kenya 🇰🇪 …🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom