Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Issue ni Viwanja vilikuepo Tz , I mean regional stadium zilikuepo na zipo long before KE kuwa na stadiums , sema hizi zilijengwa kipindi cha 1970s to 80s , Kipindi hicho serikali ilikuwa chini ya TANU ambapo viwanja hivyo ndo vilikuwa vinamilikiwa in reality hizi stadium sio za CCM ( formely TANU) . Kipindi hicho KE you couldnt dream to have any stadium . So unachoona mnafanya Kenya we did TZ long before, ni kwa vile stadium zilikuwa transfered to CCM, so the goverment haina say nazo wala haiwezi ikaanza ku rennovate , hiyo ni decsion ya CCM. Na ndo maana unaona vimechoka .Stadium hizo ni
1. CCM Kirumba Mwanza 35k
2. Shekih Abeid Arusha 20k
3.Jamuhuri Stadium Dodoma 10k
4. Sokoine Stadium Mbeyan10k
5. Ali Hassan Mwinyi Tabora 20k
6. Kambarage Stadium Shinyanga 30k
7. Kaitaba Stadium Bukoba 5k
8 . Mkwakwani Stadium Tanga 15k
9. Jamuhuri Morogoro 10k
10. Nagwada Sijaona Mtwara 15k
11. Lake Tangayika Stadium Kigoma
12, Uhuru stadium Dar 23k
13. Samora stadium Iringa
14. Maji Maji stadium Songea 30k

So kiukweli goverment of TZ should not look to build many stadiums kila region inazo , cha maana ivitoe CCM then ivi renovate we are good to go, maana CCM has failed to maintain them
Hakuna yenye iko na viti hata moja. Watu wanakalia nyasi na mbao😂😂😂
 
Tanga kwa kina Sama boy 255 wanawake wamegoma
IMG_20240516_200106.jpg
 
Issue ni Viwanja vilikuepo Tz , I mean regional stadium zilikuepo na zipo long before KE kuwa na stadiums , sema hizi zilijengwa kipindi cha 1970s to 80s , Kipindi hicho serikali ilikuwa chini ya TANU ambapo viwanja hivyo ndo vilikuwa vinamilikiwa in reality hizi stadium sio za CCM ( formely TANU) . Kipindi hicho KE you couldnt dream to have any stadium . So unachoona mnafanya Kenya we did TZ long before, ni kwa vile stadium zilikuwa transfered to CCM, so the goverment haina say nazo wala haiwezi ikaanza ku rennovate , hiyo ni decsion ya CCM. Na ndo maana unaona vimechoka .Stadium hizo ni
1. CCM Kirumba Mwanza 35k
2. Shekih Abeid Arusha 20k
3.Jamuhuri Stadium Dodoma 10k
4. Sokoine Stadium Mbeyan10k
5. Ali Hassan Mwinyi Tabora 20k
6. Kambarage Stadium Shinyanga 30k
7. Kaitaba Stadium Bukoba 5k
8 . Mkwakwani Stadium Tanga 15k
9. Jamuhuri Morogoro 10k
10. Nagwada Sijaona Mtwara 15k
11. Lake Tangayika Stadium Kigoma
12, Uhuru stadium Dar 23k
13. Samora stadium Iringa
14. Maji Maji stadium Songea 30k

So kiukweli goverment of TZ should not look to build many stadiums kila region inazo , cha maana ivitoe CCM then ivi renovate we are good to go, maana CCM has failed to maintain them
Hizi sio Stadiums bwana. These arw farms.

Sokoine
1716199304104.jpeg


Kaitaba
1716199470858.jpeg
 
Wazungu wanapigana za uso tu 🤣🤣🤣
Screenshot_20240520_131456_Instagram.jpg
ifike mahala tukubali kwamba Manchester City ndio timu bora ya wakati huu.
 
Kitu hawa watu wananishangaza nayo is that wamekazana ati FIFA and CAF approved yet matches headed by those bodies are being played in Kenya😂😂
Hawa jamaaa ni wajinga sana, alafu mbaya nikwamba hapa ndani wanafata akili za mtu ambae ni punguani (mentally unstable) Kama makondoo. Naskia ndio chairman wao 😅😅😅😅
 
Sawa mkuu, just niliona tuchukue comparative advantage, category yetu flani hivi ukiona Air Tanzania unajua ni Cargo.

Zaabiria ndio hivyo shirika.linazitumia zinavyotaka kama hawajali vile, cargo huenda ingesaidia kipindi hiki kuamka.

Tukipata mtu serious abiria ziendelee.

Ni maoni yangu tu.
Yes good idea bro but tunataka by 2025 tuweze kuleta watalii 5m na tukiweza kufanikiwa hvi bro mark my words utalii inaweza kuchangia economy by 45%
 
Yes good idea bro but tunataka by 2025 tuweze kuleta watalii 5m na tukiweza kufanikiwa hvi bro mark my words utalii inaweza kuchangia economy by 45%
Watalii gani ATCL italeta 5m kama saa hii ndio wanabeba only 850,000 passengers in a year which local route contribute 800,000 of that number😂😂😂😂
 
Tuta-
🤣 🤣 🤣
You only have one stadium that can come anywhere to being called modern. The rest are cowsheds.
Approval za CAF hata nikienda kwa uwanja wetu wa High School pale Kenya High School niweke vichoo na floodlights alafu niweke goal line technology ya kuhire utapewa CAF approval. Angalia quality ya viwanja mlivyo navyo. Yani ukitoa Mkapa hapo hamna uwanja kabisa.
Sisi tunazo tatu approved tuonesheni yenu ambayo iko approved so far 🤣🤣🤣🤣🤣

Arusha na dodoma tunajenga other modern stadiums hio weka akilini kabisa usije kusahau😂😂😂

Alaf mulivokua mahayawani badala kujenga stadium sehemu kama Mombasa kwa ajili ya kukuza uchumi wa coast kipindi cha AFCON kiwanja munajenga Nairobi, wakat Sisi huku tunajenga mikoa tofaut tofaut
 
Back
Top Bottom