Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,888
- 103,753
Hiyo ni nyumba ya matofali ya kuchoma mpumbavu wewe!Ahsante kwa kutuonyesha nyumba za tope mjini. 🤣 🤣
Hiyo ni nyumba ya matofali ya kuchoma mpumbavu wewe!Ahsante kwa kutuonyesha nyumba za tope mjini. 🤣 🤣
No 100%Is it true that 90 percent of Tanzanian government officials are Burundians?
Dah! Hii ni race track ya magari sio uwanja wa mpira.Hiv vijamaa vikiona tumenyamaza kimya vinaaanza chokochoko🤣🤣 still huyu mpumbavu kibera walker NairobiWalker anachonga ngenga. 🤣🤣 Amani stadium 👇View attachment 2994056View attachment 2994057
Jamaa walichukua sgr plan ya Tz wakadanganya wananchi wao.Ndio Aina ya watu tunaobishana nao huku ndaniView attachment 2993749View attachment 2993751
Planning kwanza before lami ,TACTIC Project ,kazi zinaendelea Kwa Kasi sana 👇👇View attachment 2993600View attachment 2993601View attachment 2993603View attachment 2993604View attachment 2993605View attachment 2993606
Na nyang'au walivyo wapumbavu wakawaamini, ha ha ha😎😎Jamaa walichukua sgr plan ya Tz wakadanganya wananchi wao.
Nchi maskini sana, kila kitu ni msaada kutoka China. 😂 😂 😂Kumbe Makwapa Stadium was also a grant from Chinese. Watanzania wanasaidiwa kila kitu😂😂😂🤣
View attachment 2993534
Afadhali sie misaada ya miradi, ila misaada ya chakula nchi kutoka nchi ya jangwa.Sisi hatukupewa misaada.
Uwanja wa Kasarani ulikuwa msaada pia!Afadhali sie misaada ya miradi, ila misaada ya chakula nchi kutoka nchi ya jangwa.
Pia nakumbuka mlipewa msaada wa Simtank mpaka Ikulu.
Eti tulipewa kama zawadi na Mchina?Broo, Kulingana nawe hivi viwanja viwili vimefanana? Wacha bhangi buanaa.
![]()
![]()
Ukweli ni kwamba viwanja vyenu vyote ni vibovu ukitoa kile mlichopewa kama zawadi na Mchina. Hata hiyo Amaan imejengwa kwa mabati labda kuweka roof ndio kidogo walijaribu but viwanja vyenu ni vibovu. Ukitoa roof hicho kiwanja ni vichekesho.
View attachment 2994005
Tunaita misaada ya aina hii 👆 misaada ya kipumbavu.Afadhali sie misaada ya miradi, ila misaada ya chakula nchi kutoka nchi ya jangwa.
Pia nakumbuka mlipewa msaada wa Simtank mpaka Ikulu.
Watu wanapelekewa msaada wa Simtank Ikulu 😂Tunaita misaada ya aina hii 👆 misaada ya kipumbavu.