Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

City Mall Mombasa
Screenshot_2024-05-18-19-50-21-92_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2024-05-18-19-49-57-80_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2024-05-18-19-49-34-49_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Hii haina tofauti na SGR kenya hata coaches zake ni same model na Kenyan coaches. Speed ya cargo ni 110kph more than Kenyan SGR at 80kph.
Treni ninatumia masaa Saba including umbali wa kutoka mjini kwenda kwenye vituko na bus pia inatumia masaa Saba

Mchina shikamoo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Alaf ajabu Angalia walivokosa aibu eti wanadhani bado dunia haijui chochote kuhusu wao 😂😂😂😂😂😂

Kila siku tulikua tunawatambia Kenya GDP imepikwa ikapikika wanafkiri tunatania, ona dunia inavowaumbua SASA, zile sifa za uongo zimesha SASA, wamebakia kutapatapa kama mgonjwa wa kifafa
Na kama wanaona mbali ilitakiwa wakwepe harakati za AFCON unless wajipange kwelikweli maana kile ndio kiama chao. Huku electric sgr, huku BRT, kule the bigest ships in the lakes na hapo bado hatujafocus.
 
Na kama wanaona mbali ilitakiwa wakwepe harakati za AFCON unless wajipange kwelikweli maana kile ndio kiama chao. Huku electric sgr, huku BRT, kule the bigest ships in the lakes na hapo bado hatujafocus.
Wazungu weusi wanaadhirika yarabi 🤣🤣🤣

Tutaambia nini watu, mwengine kaleta concrete jungle 🤣🤣🤣👇👇👇👇

Eti hii ni concrete jungle 🤣🤣🤣🤣
 
Stadium haina viti alafu imeparara kweli kweli😂😂

Alafu tukiwaambia wako nyuma in terms of Stadium wanakasirika😂😂😂

View attachment 2993405
Shida ni hii hizo stadium tulijenga miaka ya 1970s to 1980s ila cha ajabu tupo 2024 mnajenga vitu vile vile.

Ukitoa Talanta inayojengwa kisasa, hivyo viwanja ulivyoweka humu viko na tofauti gani na hivyo vyetu vya 1970s to 1980s?

Cha kuchekesha tulivyokarabati na kujenga karibuni Amaani, B/Mkapa ni level ambayo hamba hadi msubirie Talanta.

Mgekuanna Level hizo msingekua mnatupigia kelele sijui Daily Dose.

Hata hiyo Arusha stadium mnayoicheka cheka, mlianza kuleta render ya Talanta, baada ya Render ya Arusha kufika mkaishia kuificha kuleta ujenzi.

Ujenzi ukiwekwa mtasemaje?
SGR haijawapa somo kua "kutangulia sio kufika"
 
Shida ni hii hizo stadium tulijenga miaka ya 1970s to 1980s ila cha ajabu tupo 2024 mnajenga vitu vile vile.

Ukitoa Talanta inayojengwa kisasa, hivyo viwanja ulivyoweka humu viko na tofauti gani na hivyo vyetu vya 1970s to 1980s?

Cha kuchekesha tulivyokarabati na kujenga karibuni Amaani, B/Mkapa ni legel ambayo hamba hadi msubirie Talanta.

Mgekuanna Level hizo msingekua mnatupigia kelele sijui Daily Dose.

Hata hiyo Arusha stadium mnayoicheka cheka, mlianza kuleta render ya Talanta, baada ya Render ya Arusha kufika mkaishia kuificha kuleta ujenzi.

Ujenzi ukiwekwa mtasemaje?
SGR haijawapa somo kua "kutangulia sio kufika"
Haya hio talanta subiri uone kwa macho mzee, usiamini render kabisa 🤣🤣🤣🤣
 
Kenya is currently participating in International Secondary School Soccer World Cup in China. Our boys under 18, have just beaten Germany 2:1 Girls have beaten Benin 1:2 in their opening match. Fifa ban really wasted us. But we are recovering well.
20240519_112431.jpg
20240519_112405.jpg
20240519_112401.jpg
20240519_112354.jpg
 
Back
Top Bottom