Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shida ni hii hizo stadium tulijenga miaka ya 1970s to 1980s ila cha ajabu tupo 2024 mnajenga vitu vile vile.

Ukitoa Talanta inayojengwa kisasa, hivyo viwanja ulivyoweka humu viko na tofauti gani na hivyo vyetu vya 1970s to 1980s?

Cha kuchekesha tulivyokarabati na kujenga karibuni Amaani, B/Mkapa ni level ambayo hamba hadi msubirie Talanta.

Mgekuanna Level hizo msingekua mnatupigia kelele sijui Daily Dose.

Hata hiyo Arusha stadium mnayoicheka cheka, mlianza kuleta render ya Talanta, baada ya Render ya Arusha kufika mkaishia kuificha kuleta ujenzi.

Ujenzi ukiwekwa mtasemaje?
SGR haijawapa somo kua "kutangulia sio kufika"
Broo, Kulingana nawe hivi viwanja viwili vimefanana? Wacha bhangi buanaa.
45519655_1458167160953432_9010252796099821568_n.jpg

1.jpg


Ukweli ni kwamba viwanja vyenu vyote ni vibovu ukitoa kile mlichopewa kama zawadi na Mchina. Hata hiyo Amaan imejengwa kwa mabati labda kuweka roof ndio kidogo walijaribu but viwanja vyenu ni vibovu. Ukitoa roof hicho kiwanja ni vichekesho.

5.jpg
 
Na kama wanaona mbali ilitakiwa wakwepe harakati za AFCON unless wajipange kwelikweli maana kile ndio kiama chao. Huku electric sgr, huku BRT, kule the bigest ships in the lakes na hapo bado hatujafocus.
Hawa nyangau walishapewa mara 2 ku host mashindano makubwa ya CAF lakini mara zote 2 wakashindwa ni aibu sana.
 
Broo, Kulingana nawe hivi viwanja viwili vimefanana? Wacha bhangi buanaa.
45519655_1458167160953432_9010252796099821568_n.jpg

1.jpg


Ukweli ni kwamba viwanja vyenu vyote ni vibovu ukitoa kile mlichopewa kama zawadi na Mchina. Hata hiyo Amaan imejengwa kwa mabati labda kuweka roof ndio kidogo walijaribu but viwanja vyenu ni vibovu. Ukitoa roof hicho kiwanja ni vichekesho.

View attachment 2994005
Mbona upost Uwanja wa Amani wa zamani mzee.? Kwa muonekano wa sasa wa uwanja wa amani, hakuna uwanja wowote in kunyaland wenye it match Amani stadium.
 
What a lame excuse for FKF 🤣🤣🤣
Mwishoni kabisa wanasema:

East African countries have struggled with stadium issues in recent years, with Tanzania being the only nation boasting a CAF and FIFA-approved stadium until the recent clearance of Namboole and the newly-renovated Amahoro Stadium in Rwanda.
 
Back
Top Bottom