Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

SASA ulikua unabisha nn kama hamuna CAF approved stadium 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
IMG_0230.png
 
Tournament was held in Tanzania, ulitaka Gor Mahia warudi wacheze Kenya the tournament was in Tanzania? Akili yako inakusaidia kweli kijana wa Yemen?😂😂😂🤣

By the way results of that Tournament final was like this😂😂

View attachment 2993505
Kijana amekua desperate, chochote anachopata analeta 😅😅😅
 
Kwa vile ni cha kweli ndio kinawatoa roho

Kenya 2024 inakimbilia Malawi what a shame, wazungu weusi kila mwaka ni tabu Tu kwenu 😂😂😂😂😂
Are you aware that Makwapa Stadium is grant from China?
IMG_0233.png
 
Leo wazungu weusi wanashangilia Malawi na hawana hata aibu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kweli mchawi mpe mwanao amlee 🙌🙌🙌

Aibu mbaya kuwahi kutokea kwenye dunia hii, walikua wanadanganya watu kua wao wako sawa na Singapore haya kiko wapi SASA, kila kitu kwao ni failed
 
Ichopedia… Mkapa and Amani are the only 2 real stadiums in Bongo… zingine zote ni cowsheds..🤣🤣🤣
CAF wanatambua stadium 3, wewe na CAF Nani anajua zaidi???😂😂😂😂😂😂😂

Na inakuaje uumie namna hii eti mzungu mweusi, aibu zinawadinya SASA vile mulizoea kudanganya watu na sifa za uongo
 
Hamutaki na hamuna CAF standard stadium so far alaf 2024 😂😂😂😂😂😂😂😂

Wazungu weusi walidanganywa wako level za singapore na Malaysia, Leo wanashuka hata Malawi inawatoa jasho
Yaani wanaenda kucheza kwenye least developed country in the world ama kweli kiingereza kingi ni bure kabisa 🤣🤣🤣🤣
 
Navojua Tanzania has 3 CAF approved stadium so far kwenu ziko ngap??🤣🤣🤣🤣

Sijawahi kuona stadium moja inafanyika renovations mara mbili within 3 yrs 😂😂😂😂

Shikmoo wanasiasa wote wakenya 😂😂
Shikmoo waziri ababu
Sio jambo la kushangaza hilo kwa Kenya hata SGR to Malaba huwa wanazindua mara mbili mbili na bado iko kwenye makaratasi
 
Back
Top Bottom