Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Selected maana yake mumepeka masharti mutekeleze ndio maana munafanya second renovation baada ya Ile ya Kwanza watu Kula pesa 😂😂😂😂😂 na hii mukifeli tena hamupewi approval hio mzee
Wewe myemen tangu lini ukaelewa Kiingereza? Nitakuwa napoteza tu muda na wewe
 
Wazungu weusi wanaadhirika yarabi 🤣🤣🤣

Tutaambia nini watu, mwengine kaleta concrete jungle 🤣🤣🤣👇👇👇👇

Eti hii ni concrete jungle 🤣🤣🤣🤣
Leta kama hiyo ukitoa Posta, Kariakoo na Upanga tuone
 
I am confident na vituo vya umeme vilivyowekwa plus Nyerere hydroelectric. Pia kama ungekua unaishi TZ ungeelewa hilo sio tatizo la kuhofia.
Unamaanisha tutawauzia umeme halafu ukatike kwenye sgr? be serious
Umeme gani mtuuzie wakati hamjatosheleza hata mahitaji yenu ya ndani. Wewe ni kichaa?
 
🤣 🤣 🤣 🤣 Mambo ya Buildings tulishajadili sana. For now we are talking about new things. Hebu tuambie ni kitu gani kipya hapo Nairobi hakipo Dar?
Dar hakuna buildings. Jiji nzima ni lowlife uswazi hovels nicknamed dreamhouses
 
Since 2017 mnaongelea Uhuru park. Je there is any changes since tuanze battle hii 2017? Almost 8 years.
Tanzania nzima huwezipata recreational park ya kulinganisha na either Uhuru Park or Central Park. Hata utembee hadi you won't find
 
Wewe myemen tangu lini ukaelewa Kiingereza? Nitakuwa napoteza tu muda na wewe
Labda nikuulize kwann munafanya renovation mara ya pili?? 😂😂😂😂😂

Kua selected haina maana ndio itachezwa kama hamjakidhi vigezo hamupewi last approval, weka akilini
 
You'd have a hard time telling a Tanzanian that this is a three-level interchange. Mazuzu wa kupindukia
IMG_20240519_013509.jpg.jpg
 
Labda nikuulize kwann munafanya renovation mara ya pili?? 😂😂😂😂😂

Kua selected haina maana ndio itachezwa kama hamjakidhi vigezo hamupewi last approval, weka akilini
Hatufanyi renovation ya pili. It's a contuning thing. It was being done in phases. Kama ni renovation ya pili, hebu niletee taarifa ya source ya pesa inayofanya hiyo renovation ya pili
 
Back
Top Bottom