Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wanasahau Bukhungu stadium na Masinde Muliro Muliro stadium are found in two different towns and also two different counties
By next year they should be complete, we want Kpl matches in those areas. Mashabiki wa mpira ni wengi Sana western
 
Hizi stadiums zinazojengwa Kenya Kwa sasa zikiisha mibongolalala watabaki kutuonesha Azam kila siku na kutuambia vile wako mbele kimichezo ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Ask them to show any stadium under construction in Tanzania utanibuwa na matusi
These people are so desperate
Kumbuka Kuna Mombasa stadium inakuja 60k seater.
 
Cha6a Manifesto wanajaribu kuhakikisha wanataka kutengeneza empire yao Tanzania kama Kule Kenya Kikuyu.

Hujui watu wengi wa kutoka kule ndio wanakuwa negative. Hata hivyo Kule kimara more than 80% wapo wao ndio waliomchagua ili awatetee.

Dig down deep utawaona CHADEMA na lengo lake. Kama hujatokea kule wanakumaliza.
You're so wrong, brother. You seem full of emotions from whatever one of us has done to you. What's going on? Spit it out. Au ndio mangi wa dukani kamla demu wako nini.
 
Kuna mikoa dunia hii kama si support ya serikali isingewahi kuwa na vyuo. Ifuatayo ni otodha ya mikoa hiyo:
1. Mbeya
2. Kagera
3. Kigoma
Kwani Mikoa mingine yenye Vyuo ni sapoti ya kitu gani Nje ya serikali?

Usirudie kuweka Mbeya kwenye kundi la Mikoa yenu hiyo ya loosers.Mbeya Ina Vyuo Vikuu na vya Kati vingi just Second to Dar.
 
Hizi stadiums zinazojengwa Kenya Kwa sasa zikiisha mibongolalala watabaki kutuonesha Azam kila siku na kutuambia vile wako mbele kimichezo ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Ask them to show any stadium under construction in Tanzania utanibuwa na matusi
These people are so desperate
Hizo ni mbio za sakafuni kama ilivyokua SGR
 
Hizo ni mbio za sakafuni kama ilivyokua SGR
Usidhanie kwamba mko mbele kwenye SGR manake hatujui economic metric zenu ni gani. Tunasubiri Sana kuona volume ya mizigo na abiria mtakao safirisha kwa mwaka mmoja kisha tulinganishe.
 
Masinde Stadium, might not be ready for Madaraka Day but I like the progress the KDF is doing.

1716056452675.jpeg

1716056477828.jpeg
 
Usidhanie kwamba mko mbele kwenye SGR manake hatujui economic metric zenu ni gani. Tunasubiri Sana kuona volume ya mizigo na abiria mtakao safirisha kwa mwaka mmoja kisha tulinganishe.

Kunyaland haina chochote cha kujilinganisha na Tanzania katika sekta ya usafiri na huduma za usafirishaji.

Tanzania is far ahead in Logistics infrastructure and services. Hii ni kwa hakika as a pro in that industry. You need to up your game to catch up.
 
Back
Top Bottom