Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ushuzi mtupu:)
Screenshot_2024-05-13-19-19-14-29_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
Alot of Imeprial nations.
-Ndio maana Dr.Tulia Ackson ni rais wa IPS duniani.
-Ndio maana Dr.Asharose Migiro alikua UN general secretary.
One of the things which makes a country to be known is sports. Which sport do you excel worldwide .
 
Kenya nyie walaini tuu watoto soft, mlichojaliwa ni mdomo na ushamba
Umeandika kwa hasira Sana "tutawaua hao ndovu wenu" wewe unauwezo huo ama uchungu umekuzidi. Bunduki huna, Serengeti hujawai ingia umejifungia gongo la mboto ukibishana na wakubwa wako😅😅😅😅
 
One of the things which makes a country to be known is sports. Which sport do you excel worldwide .
Umeanza kuhama hama mzee!?
Mbona hukutaja other paticula reasons like tourism and business issues?
Football.
Tanzania ina wachezaji wengi wanaocheza nje ligi tofauti tofauti.
Pia ligi kuu ya Tanzania ni miongoni mwa ligi 65 zinazofuatiliwa ULIMWENGUNI.
Ndio maana Kennedy Musonda alitumiwa zawadi toka academy ya Catalunya kupitia balozi ya Spain Tanzania kwasababu ya uchezaji wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom