Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Antibiotics za lazyland zimeisha nguvu
Lete ushahidi wa TANZANIA MAGOROFA KUANGUKA.Nani alikudanganya huko majengo hayaanguki, Magufuli ama kinjekitile?
Kundustan Kwa nini majengo yanaporomoka hovyo huko kwenu? 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C6-VHC0qXuG/?igsh=ZDljN2d4ZWJnYnB3
Kama umesoma medicine usugu wa dawa hutokea sio tu kwa antibiotics kama ampicloxacillin na amoxcillin,bali hata kwa antipain kama piroxicam,diclofenac pia usugu hutokea.Antibiotics za lazyland zimeisha nguvuView attachment 2990555
Aki we ni fala😂😂Jengo limebomolewa wewe unasema limeporomoka.
Haiwezi kusafiri bila kuwekwa hio pua. Hapo hawafuniki lazima Kuba towing zinaendelea.Chuma kimetulia sana. Ila hiyo pua ya mbele waifunike sasa hata kama wanafanya majaribio.
Kwa hivo madirisha yalijitoa kabla lianguke? Halafu hilo tractor aina ya excavator hapo ni gari la matembezi la mmoja wa wapangaji wa hiyo nyumba ama? No wonder watu wengi humu hata huwa hawakujibu.Aki we ni fala😂😂
Jengo libomolewe upande upande lisimame!?
We huoni limebomoka lenyewe hilo!?
Meanwhile reference zenu humu kuhusu Kenya 90% huwa watu kama Gabriel Oguda na Gaitho. Yani unafiki wenu humu unatisha.Kama reference yako ni huyu sina cha kukujibu.
Nikikwambia una reason kama mbuzi usikatae.Kwa hivo madirisha yalijitoa kabla lianguke? Halafu hilo tractor aina ya excavator hapo ni gari la matembezi la mmoja wa wapangaji wa hiyo nyumba ama? No wonder watu wengi humu hata huwa hawakujibu.
Hao uliowataja wanafanania na huyo!?Meanwhile reference zenu humu kuhusu Kenya 90% huwa watu kama Gabriel Oguda na Gaitho. Yani unafiki wenu humu unatisha.
They're all twitter government critics from their respective countries. Nyinyi mnatumia wa kwetu kutuchekelea na sisi tunatumia wa kwenu kumchekelea japo wa kwetu ni wengi zaidi kisa tuna freedom of expression.Hao uliowataja wanafanania na huyo!?
Embu fananisha mijadala wanaotoa hao uliowataja na huyu mwanamke kesha fananisha.
Wewe kupingana nawe ni kuharibu wakati. Basi limeporomoka. Wacha nikuache jinsi NairobiWalker alivyokuacha ukipingana eti Yoruba ni Bantu.Nikikwambia una reason kama mbuzi usikatae.
Kwahiyo hilo excavator kazi yake kubomoa tu!?
We huoni kule nyuma inatoa vifusi!?
Au ulitaka vifusi vitolewe kwa mikono na machepeo/spade!?
Hilo jengo linaonekana hata halikukamilika maana kote huko unaona kabisa hakuna alama hata ya kuwepo madirisha.
Wanaonijibu ni wengi hasa hasa Teargrass usilete vibweka saahii.
Wewe kupingana nawe ni kuharibu wakati. Basi limeporomoka. Wacha nikuache jinsi NairobiWalker alivyokuacha ukipingana eti Yoruba ni Bantu.Nikikwambia una reason kama mbuzi usikatae.
Kwahiyo hilo excavator kazi yake kubomoa tu!?
We huoni kule nyuma inatoa vifusi!?
Au ulitaka vifusi vitolewe kwa mikono na machepeo/spade!?
Hilo jengo linaonekana hata halikukamilika maana kote huko unaona kabisa hakuna alama hata ya kuwepo madirisha.
Wanaonijibu ni wengi hasa hasa Teargrass usilete vibweka saahii.
Nimekwambia fuatilia wanachokosoa wa kwenu na wakwetu.They're all twitter government critics from their respective countries. Nyinyi mnatumia wa kwetu kutuchekelea na sisi tunatumia wa kwenu kumchekelea japo wa kwetu ni wengi zaidi kisa tuna freedom of expression.
Aaagh.Wewe kupingana nawe ni kuharibu wakati. Basi limeporomoka. Wacha nikuache jinsi NairobiWalker alivyokuacha ukipingana eti Yoruba ni Bantu.
Kumbe mshaanza kujistukia wenyewe😅😅😅😅😅😅😅Chuma kimetulia sana. Ila hiyo pua ya mbele waifunike sasa hata kama wanafanya majaribio.
Ukiwafuata wote utapata saa zingine wao hupost vitu visivyo vya maana na pia vya uongo ile wetu wakipost, mnasherehekea na wenu wakipost mnatuambia eti sio wat wa kuskiza. Alafu hilo la kutopokelewa eti unasema jambo lisilo na tija? Yani Rais wenu kuwa political tourist hadi kuenda nchi ambazo anaoneshwa dharau unaona kama sio jambo la maana?Nimekwambia fuatilia wanachokosoa wa kwenu na wakwetu.
Unafananisha mtu anayekosoa eti kupokelewa kwa rais na mtu anayekosoa kutokukamilika kwa miradi!?
👇👇👇🤓Chuma kimetulia sana. Ila hiyo pua ya mbele waifunike sasa hata kama wanafanya majaribio.
Mbona huu mchongoko ni nusu hapo mbele 😅😅😅😅
Alikujibu tena vizuri sana, ila uliendelea kupingana na kuuliza viswali vya ujinga akakuacha. Mbona huwezi kubali tu ulikosea?Aaagh.
Nenda na visingizio vyako,huyo ulomtaja nilimuuliza kuhusu hilo swali hakujibu mpaka leo.
Kitu kinaonekana kwa macho kwanini udanganye!?
Hii wasione plz watanichukia 😆😆😆😆
View: https://twitter.com/246_36_254/status/1790446018363797960?t=PLFfHihWwJ4R2A6VpyPaqw&s=19