NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,386
- 17,968
Kilichompeleka Samia France ni kutafuta pesa Kwa wadau wa Maendeleo Ili kufikia ajenda ya matumizi safi ya Nishati ya kupikia Hadi 80% come 2035 from only 5% ya Sasa.
Kimsingi amefanikiwa kugeuza ajenda ambayo ilikuwa yake binafsi na ambayo iliwalenga wanawake zaidi na sasa imekuwa ajenda ya Dunia.Alianza kwa kuintroduce kule COP28 Dubai na Sasa huko France.👇👇
View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1788443991970639970?t=Qyu1Ze7UDrYsoSZQn98v9A&s=19
My Take: Kima wa Kundustan punguza wivu,Samia hajawahi fanya ziara ya hasara kama Ruto hata siku Moja 👇👇
View: https://twitter.com/AfDB_Group/status/1788957129631563943?t=fhRze0CD6MidCfrttBL4LA&s=19
In short, ameenda kuombaomba France. Ombaomba huwa hawekewi red carpet.😂😂