Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,879
- 103,745
Ila Wakenya wenzie wamemshukia!Ili kunusuru thread hii natangaza rasmi Leo kua kila kitu kinachokuja Tanzania kinatoka Kenya mpaka Boeing na airbus zimetoka Kenya, nafanya hvi kama mwenyekiti ili battle hii iendelee, hata boti zote za Azam zinatoka Kenya kulingana na governor sonko
Haya naomba likes zenu wakenya wote 🤣🤣