Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Who is Tulia Jackson? Dunia inajua Michael Jackson tu.
Unajua kirefu cha IPS?
Ni jumuiya ya mabunge duniani msenge wewe.
Na hiyo jumuiya ya mabunge duniani RAIS WAO NI SPEAKER WA BUNGE LA TANZANIA DR.TULIA ACKSON.
Inamaana wanasiasa wakubwa duniani walikaa na kumpitisha Dr.Tulia Ackson.
Michael Jackson alikua mkatika viuno tu.
 
We umwerogwa!?
Bandari si ipo maeneo ya hapo hapo kivukoni karibia na soko la samaki!?
Naona nabishana na fala.
Point yako nini!?
Au ulitaka tusiweke soko kuu la samaki hapo!?
Why is dar slum such a mess, instead building a waterfront you build a dirty smelly fish market. Alafu mwingine anauliza hizo picha ni za mwaka gani😅😅😅
 
Built in Kenya by Kenyans for Kenyans.

1715712572972.jpeg
 
Hizi thread zinanipaga raha sana kusoma.. Kama mbongo nadhani facts ziwe facts.. Nairobi imetuzidi sana kimiundombinu haswa barabara na reli.. Watanzania waliofika ama kuishi Nairobi watakubaliana nami kwa hili. Cha msingi ni kuwa kwa sasa Dar nayo inajitahidi kukechi up ingawa naona kwa kiasi kikubwa ni majengo tu yanapanda lakini barabara na miundombinu mingine kama ya barabara (including public transport.. And yes najua kuhusu BRT), intaneti ya mwendo kasi N.K.vinasua sua sana..
Kabisa yaani sema wabongo tunamisifa tu lakini huwezi linganisha flyover na madaraja ni vitu viwili tofauti sana
 
Baba hata kwenu kubaya tu mimi nahisi ungesema chochote juu ya currently DAR ila naona umeponda mpaka basi, Nairobi imetutukana sana na DAR yetu leo inaenda zaidi ya Nairobi bado hujaona baba!!! Hivi kweli public transport yetu na Nairobi unalinganisha au hukuwahi kwenda Nairobi! Mmmmmmhh haya bhana ila kumbuka kwenu kwenu tu.
Ukweli usemwe kama umeweka mashindano na ukaona umezidiwa kubari umezidiwa tu
 
Suluhu ameenda visit France na hata hawezi wekewa red carpet akitoka kwa ndege, anawekewa carpet ya kupanguzia vumbi kama zile za milango 😂😂😂


View: https://x.com/MariaSTsehai/status/1790296349667205216

Yani mtu mwenyewe hata mjadala anaoleta ni wakisenge.
Kuna mjadala wa maana hapo!?
Jadili kilichompeleka Samia France ni kipi na je kimefanikiwa?
Hilo ndio la msingi.
Habari za kupokelewa hazina mantiki yeyote.
 
Ili kunusuru thread hii natangaza rasmi Leo kua kila kitu kinachokuja Tanzania kinatoka Kenya mpaka Boeing na airbus zimetoka Kenya, nafanya hvi kama mwenyekiti ili battle hii iendelee, hata boti zote za Azam zinatoka Kenya kulingana na governor sonko


Haya naomba likes zenu wakenya wote 🤣🤣
 
Back
Top Bottom