Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Taja nchi mmoja iliongozwa na mwanamke ikafaulu moja Tu Nasubiri 😅😅😅😅😅
Nimeshataja hapo Juu ila Kwa kukusaidia nakuongezea Ethiopia chini ya Queen of Sheba &Nzingambande.

Pili kwani hujui kwamba wanawake wameanza kuingia kwenye Uongozi miaka ya karibuni kutokana na sera za kuwakandamiza za mfumo dume?

Haya hapa madhara ya kufundisha mwanaume saikolojia ya kiburi👇

View: https://twitter.com/zoomafrika1/status/1786424780381475192?t=pfU09LSsUlCjcOPNPguX0A&s=19
 
Kilimani
1000028879.jpg
1000028878.jpg
 
-Hayo mambo yalishaanza kufanyika yeye kaja kuendeleza.
Aliyeanza kuboresha elimu alianza Mkapa,Kikwete kwa kujenga shule za kata kesha akafuatia Magufuli kwa kuweka elimu bure na kuanza ukarabati wa shule zilizochoka.
Samia kaja kuendeleza.
Hivi unajua maana ya transformation!?
-Sekta ya afya walianza kina Kikwete na Magufuli aliendeleza kwa kuboresha hospitali na vituo vya afya na kuvijenga vingine vipya.
Maji na kilimo ni yale yale.

Hakuna transformation yeyote bali yeye anafanya continuation tu.
Kuna kufanyika na kufanyika Kwa Ukubwa na upana unaostahili.Kama yangefanyika Kwa Ukubwa na upana unaostahili Leo hii isingekuwa ajenda.

Acheni majungu nyie loosers msiojielewa.ni aibu eti kabla ya Samia the whole country inakuwa na CT Scan 13 ila Mama just within 3 years Kila Mkoa kaweka ,huo ni ushahidi mdogo sana kati ya mengi aliyobadili Kwa mda mfupi sana.
 
Ona hii jamaa!!
Hao wote uliowataja wamekuta barabara zimechongwa na watangulizi wao.
Na hakuna cha maana sana walichokifanya.
Hao unaweza kuwafananisha na hawa??
1)Julius Kambarage Nyerere.
2)Hamad Thamim AlThani.
3)George Washington.
4)Abraham Lincoln.
5)Nicolas Sacozie.
6)Franchais Holand.
7)Ravalomanana
8)Vladimir Putin
9)Hassan Rouhan
10)Mohammad Bin Salman
11)Xin Jin Ping.
12)Mahatma Ghandi
Hao wanakutosha,embu chukua hao fananisha na hawa.

Hao wote uliotaja hakuna walichofanya HUSUSAN HUYO MAMA WA KIPEMBA SAMIA SULUHU HASSAN.
Kama unabisha tuanze kujadili hapa mmoja baada ya mwengine.
Hao wa Nchi zingine tutajadili siku nyingine.Tuanze na wa kwetu.

Haya nitajie Vituo vya Afya vya kutoka Uhuru Hadi 2020 na Mimi nikutajie vya kutoka 2021 Hadi 2023 na uweke ushahidi wa takwimu sitaki stori za kutunga.
 
We jamaa unaongeaga vitu mpaka unakeraga.
Unaonekana MKEO anakutawala ndani ya nyumba.
Yani mwanamke awe na busara ya uongozi kuliko mwanaume!?
Are you fucking serious!?
.
Aiseee!?

KATIKA VIONGOZI WABOVU KUWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA TANGANYIKA/TANZANIA WA KWANZA SAMIA SULUHU HASSAN.
Tena labda niwe marehemu ila hata mwanangu akizaliwa na akikua nitamueleza hakukuwahi kuwa na kiongozi aitwaye Samia maana ni fedheha ya nchi.
Ndio ananitawala,haya Sasa tunaanza na Afya ,tuanze na wanaume shupavu weka hapa Vituo vya Afya walivyojenga na Mimi niweke vya mama mbovu Kila mtu atajua hapa nani shupavu na nani mbovu.

Haya ndio mambo Huwa napenda Sasa kujadili hoja badala ya kujadili hisia za kitandani Kwa mkeo.
 
Nilikuuliza wametokea which ethnicity!?
Je ulijibu hili!?
Au Yoruba ni cushite/nilote descendants!?
Mpumbavu lazima akihojiwa ataona ni ujinga kwasababu ya ujuaji mwingi.
Rudi nyuma uone nilivyokujibu. Sitakuspoonfeed kama mtoto mdogo juu ya upumbavu wako na elimu yako duni.
 
Back
Top Bottom