Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

CBK Tower.

1714768905247.jpeg
 
Ona tu. Hakuna mwenye amekukataza๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Siku hzi umekua na hasira Sana kwann??
 
Mwanza mbona inakumbukwa saaana daraja la magufuli ,meli kuubwa,sgr n.k
Me natoka Mwanza, born and raised, ila kuna namna watu wa Kanda hiyo tulianza kujiona ni special na maalumu sana nchi hii, mbegu mbaya sana ilipandwa hapo katikati kiasi kwamba ingemea kisawasawa tungejikuta kwenye political culture ya ajabu kabisa hatujawahi kushuhudia nchi hii, political culture kama ya ndugu zetu wengi wanaotuzunguka wakiwemo hawa tunaowatandika humu, ashukuliwe huyo aliyeiwahi na kuizima hiyo mbegu isimee kwa kukata mzizi wake mkuu, awe ni Mungu au Shetani ashukuliwe kwa kuliponya taifa japo bado kuna hangover kama hizo.
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Siku hzi umekua na hasira Sana kwann??
Hasira iko wapi hapo? Umesema unaona Kilimani, CBD, Upperhill na Westlands na nikakuambia uendelee tu kuona. Kama hiyo ni hasira basi unafaa kuangaliwa akili.
 
Ni waaminifu na genuine na Huwa hawatumii mabavu Bali akili.On top of that ni resilient mfano mzuri ni Samia.

Wanaume ni matapeli,wezi,mafisadi,makatili nk..

Dunia ingekuwa mahala salama sana pa kuishi kama sio malezi ya hovyo wanayolishwa wanaume tangu Wakiwa wadogo kuvimba kujitutumua na matokeo yake ni majanga ya vita kila mahala hapa Duniani.

Bila Samia Hali ingekuwa mbaya mara 2 ya Ile ya awali.

View: https://www.instagram.com/p/C6gpi-KIp0w/?igsh=MXJmYnk4Z2tidXR6cg==

We jamaa unaongeaga vitu mpaka unakeraga.
Unaonekana MKEO anakutawala ndani ya nyumba.
Yani mwanamke awe na busara ya uongozi kuliko mwanaume!?
Are you fucking serious!?
.
Aiseee!?

KATIKA VIONGOZI WABOVU KUWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA TANGANYIKA/TANZANIA WA KWANZA SAMIA SULUHU HASSAN.
Tena labda niwe marehemu ila hata mwanangu akizaliwa na akikua nitamueleza hakukuwahi kuwa na kiongozi aitwaye Samia maana ni fedheha ya nchi.
 
Gloria Aroyo,Jacinda Aden,Julia Gillard na Sasa Samia ,kiufupi ni wengi na endless list.

Kwanza kumbuka wanawake wamekuwa wakikandamizwa miaka na mikaka Kwa sababu za mfumo dume.
Ona hii jamaa!!
Hao wote uliowataja wamekuta barabara zimechongwa na watangulizi wao.
Na hakuna cha maana sana walichokifanya.
Hao unaweza kuwafananisha na hawa??
1)Julius Kambarage Nyerere.
2)Hamad Thamim AlThani.
3)George Washington.
4)Abraham Lincoln.
5)Nicolas Sacozie.
6)Franchais Holand.
7)Ravalomanana
8)Vladimir Putin
9)Hassan Rouhan
10)Mohammad Bin Salman
11)Xin Jin Ping.
12)Mahatma Ghandi
Hao wanakutosha,embu chukua hao fananisha na hawa.

Hao wote uliotaja hakuna walichofanya HUSUSAN HUYO MAMA WA KIPEMBA SAMIA SULUHU HASSAN.
Kama unabisha tuanze kujadili hapa mmoja baada ya mwengine.
 
Case Study Samia
-Agri transformation inaendelea
-Health care transformation inaendelea
-Educatiin transformation inaendelea
-Water sector transformation inaendelea etcView attachment 2980032View attachment 2980033View attachment 2980034

Haya maelezo hapo Juu yamejikita zaidi kwenye Kilimo ila ukitaka maelezo ya sekta zingine nitakupa.
-Hayo mambo yalishaanza kufanyika yeye kaja kuendeleza.
Aliyeanza kuboresha elimu alianza Mkapa,Kikwete kwa kujenga shule za kata kesha akafuatia Magufuli kwa kuweka elimu bure na kuanza ukarabati wa shule zilizochoka.
Samia kaja kuendeleza.
Hivi unajua maana ya transformation!?
-Sekta ya afya walianza kina Kikwete na Magufuli aliendeleza kwa kuboresha hospitali na vituo vya afya na kuvijenga vingine vipya.
Maji na kilimo ni yale yale.

Hakuna transformation yeyote bali yeye anafanya continuation tu.
 
Back
Top Bottom