Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naongelea watu kwa hii thread maanake mimi, siongelei huko kwengine.

Kenya media zetu huwa proactive. Wao hureport even more than they need to. Ndio maana despite the fact that mafuriko yameuwa watu wengi huko kwenu kuliko huku, the general feeling ni kwamba huku ndio kuna mafuriko. Alafu sidhani kama huko kwenu yameisha, labda Dar hayapo ila the whole of Tanzania lazima yapo ni vile media zenu ni ovyo.
Angalia usije jinyonga mana upo katika hali mbaya sanaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mimi sijapata news zozote kwa media za bongo halafu kuna wenzako humu wanakana hamna mafuriko Bongo meaning media zenu hazireport kiukamilifu. Yani hapa Kenya jambo kama hili linakuwa ni National Issue, ukiwasha TV hivi hilo ndio jambo litakuwa likiongelewa hadi kila mtu anajua kinachoendelea, meanwhile hapo bongo wataguzia tu juu juu alafu warudi kwa Mondi na Zuchu ama Yanga na Simba.
Sasa sisi nchi yetu hatuna majanga mzee, kama yapo ni kdg sn lkn hayafiki national level kama nyinyi huko kwenu, kwanini tusi enjoy? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hivi mbona unapenda viongozi wanawake sana?
Ni waaminifu na genuine na Huwa hawatumii mabavu Bali akili.On top of that ni resilient mfano mzuri ni Samia.

Wanaume ni matapeli,wezi,mafisadi,makatili nk..

Dunia ingekuwa mahala salama sana pa kuishi kama sio malezi ya hovyo wanayolishwa wanaume tangu Wakiwa wadogo kuvimba kujitutumua na matokeo yake ni majanga ya vita kila mahala hapa Duniani.

Bila Samia Hali ingekuwa mbaya mara 2 ya Ile ya awali.

View: https://www.instagram.com/p/C6gpi-KIp0w/?igsh=MXJmYnk4Z2tidXR6cg==
 
Simu haina charge atarudi humu stima ikirudi 🤣🤣🤣
mm.png


Hii itamfaa sana.
 
Ni waaminifu na genuine na Huwa hawatumii mabavu Bali akili.On top of that ni resilient mfano mzuri ni Samia.

Wanaume ni matapeli,wezi,mafisadi,makatili nk..

Dunia ingekuwa mahala salama sana pa kuishi kama sio malezi ya hovyo wanayolishwa wanaume tangu Wakiwa wadogo kuvimba kujitutumua na matokeo yake ni majanga ya vita kila mahala hapa Duniani.

Bila Samia Hali ingekuwa mbaya mara 2 ya Ile ya awali.

View: https://www.instagram.com/p/C6gpi-KIp0w/?igsh=MXJmYnk4Z2tidXR6cg==

Mbona nchi kama Singapore, Korea, Qatar, Malaysia n.k zimetolewa kwa umaskini na viongozi wa kiume? Mbona sijaona kiongozi mwanamke akiitoa nchi kwenye umaskini?
 
Mbona nchi kama Singapore, Korea, Qatar, Malaysia n.k zimetolewa kwa umaskini na viongozi wa kiume? Mbona sijaona kiongozi mwanamke akiitoa nchi kwenye umaskini?
Unajua historia za Nchi hizo au unajiongelesha tuu?

Pili kati ya Viongozi 100 wa kiume unaweza Kuta ni 2 tuu ndio waungwana wengine wote ni washenzi.

Viongozi wengi wangekuwa Wanawake,Dunia ingekuwa mahala salama pa kuishi.
 
Unajua historia za Nchi hizo au unajiongelesha tuu?

Pili kati ya Viongozi 100 wa kiume unaweza Kuta ni 2 tuu ndio waungwana wengine wote ni washenzi.

Viongozi wengi wangekuwa Wanawake,Dunia ingekuwa mahala salama pa kuishi.
Nitajie kiongozi wa kike mmoja aliyeitoa nchi kwenye umaskini hadi ikawa tajiri.
 
Back
Top Bottom