Sawa no problem.
Anyway mafuriko yakiwa Dar yanalipotiwa maana bila kuripotiwa tutakwepaje njia sumbufu.
Now ni siku kama nne toka mvua ikate tumerudi kule kwa Joto kali. Sometimes unatamani tena mvua.
JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala Dar.
Nenda Miradi ayo scroll downs utaona mafuriko, unazani hii serikali iliyojaa kusifu watazibia mafuriko ambayo yatawapa airtime ya kusifu.
Toka mvua ipige kuna maeneo yalikua hit sana.
Hanang Manyara, taarifa zipo humu hadi uokoji, misaada, na after mafuriko report ya ukarabati na ukabidhi wa kaya, ardhi kwa wananchi.
Next ni Rufiji, ni ya juzi tu na ilisingiziwa bwawa la nyerere na kelele nyingi.
Ila serikali ilifika na kutoa msaada.
Wanaofata Bonde la mto msimbazi watu wabishi walishwalipwa na kupewa viwanja lakini wakauza wakarudi bomoa bomoa ilishapitishwa ila siasa na kurudi inakua janga.
Anyway kupunguza majanga hayo mto ulijengewa kingo, kuanzia KIMARA-SINZA-TANDALE-MAGOMENI-JANGWANI.
Na huo mto umekua connected na mitaro mingi ya barabara kuondoa maji yaliyokua yanatuama.
Badala ya kama zamani maji kuwreck havock kwa makazi ya watu now yananyoosha mpaka baharini. Isipokua hapo Jangwani plan ya Daraja kubwa ipo ila wanajivuta may be kwa sababu mvua ikiisha mambo yanarudi kama zamani, na walihamisha UDART kwenda Ubungo.