Ugly
Wivu ๐๐Ugly
Interchange ya nyokweWivu ๐๐
Same as floods and hunger ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Nimeshataja hapo Juu ila Kwa kukusaidia nakuongezea Ethiopia chini ya Queen of Sheba &Nzingambande.
Pili kwani hujui kwamba wanawake wameanza kuingia kwenye Uongozi miaka ya karibuni kutokana na sera za kuwakandamiza za mfumo dume?
Haya hapa madhara ya kufundisha mwanaume saikolojia ya kiburi๐
View: https://twitter.com/zoomafrika1/status/1786424780381475192?t=pfU09LSsUlCjcOPNPguX0A&s=19
Kilimani + upperhill +Westland ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
Mambo yanazidi kuiba Dom the Capital City ๐
View: https://www.instagram.com/reel/C6gj9ZvoKXN/?igsh=MTNybm8xdnB5aWo1cw==
One pic inamlaza Nairobi yote tena horizontal pic ๐ ๐ ๐ ๐ na mukiambiwa Nairobi ni ndogo musikasirikie ndio maana floods IPO everywhere kwasababu mji mdogo umejikusanya sehemu mojaKwani haziko Nairobi ๐๐๐
SGR ya Ethiopia-Djibout ๐คฃ๐คฃ๐๐
View: https://youtu.be/csq_995qtY4?si=9lhK5sgQxWtW1pz5
Hapo Mchina alipiga pesa kama alivyowaliza Kundustan ๐๐๐
Wewe ndio huelewi,sio wengi kama wanaume Kwa sababu kwenye Uongozi wameanza kutambulishwa miaka ya karibuni,lakini Kwa hao wachache wame prove efficiency kubwa na wewe unajua.Mbona hueleweki mara nimeshakutajia hapo juu mara wameanza kuingia hvi karibuni which is which??๐ ๐ ๐ ๐
Mzee kubali kua huna point, kwa hili umechemka
Wewe ndio huelewi,sio wengi kama wanaume Kwa sababu kwenye Uongozi wameanza kutambulishwa miaka ya karibuni,lakini Kwa hao wachache wame prove efficiency kubwa na wewe unajua.
Tukianza hapa hapa Tanzania Samia vs Magufuli.Samia hajawahi kuwa na kashfa ya Ufisadi popote Hadi Lisu analijua hili tofauti na Mwendazake, tayari kwenye uadilifu She is way better kuliko mwingine yeyote.
Tukienda kwenye delivery ndio kabisaa ,hakuna wa kumlinganisha,kinachowahangaisha nyie walinda Ligacy ni chuki binafsi na ego za mfumo dume ila Kwa kuwa ana emotional intelligence kubwa Huwa hajibu wajinga Yuko focused na huwezi mtoa Samia kwenye reli.
View: https://www.instagram.com/p/C6gmiegtcIf/?igsh=bGlqand3NjV5aWMz
GIA ipi? Naendelea na mada ya Wanawake viongozi na case study ni Samia.๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
Ushabadilisha gear angani tayari
Anazingua huyo mwehu. Uchawa mzigo sana.Hivi mbona unapenda viongozi wanawake sana?
Kwa vile awamu hii haina kashfa ๐ ๐ ๐ report ya CAG Tu ukipewa unaogopa hata kuibeba ina madudu makubwa haijawah kutokea toka dunia hii iumbweWewe ndio huelewi,sio wengi kama wanaume Kwa sababu kwenye Uongozi wameanza kutambulishwa miaka ya karibuni,lakini Kwa hao wachache wame prove efficiency kubwa na wewe unajua.
Tukianza hapa hapa Tanzania Samia vs Magufuli.Samia hajawahi kuwa na kashfa ya Ufisadi popote Hadi Lisu analijua hili tofauti na Mwendazake, tayari kwenye uadilifu She is way better kuliko mwingine yeyote.
Tukienda kwenye delivery ndio kabisaa ,hakuna wa kumlinganisha,kinachowahangaisha nyie walinda Ligacy ni chuki binafsi na ego za mfumo dume ila Kwa kuwa ana emotional intelligence kubwa Huwa hajibu wajinga Yuko focused na huwezi mtoa Samia kwenye reli.
View attachment 2980381
mwaswast uko wapi wewe siku hizi? Sikuoni kabisa, huyu mwaswast na Tony254 ndiyo wakenya pekee wasema kweli na huwa wanachukiwa sn na wakenya wenzao kwa kuwa ni wakweli daima.Hawa wenzetu wasikudanganye Kuna la kuvutia huku kwetu ni balaa chungu nzima