Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Waambie wakundustan wala hii sio old Dom city wala Magufuli city, hii ni nyingine tofauti kabisa
Hii new development ni 4km away from the city centre (old dom centre ) .. dom ni kubwa mno, haya maeneo yakijaa ujenzi, hakuna Mwanza wala chuga ambayo itaweza kuwa competitive to Dom, since individual development level kwasasa dodoma inazidiwa na Dar tu.
 
None of those women transformed their countries. 🤣 🤣 🤣
Case Study Samia
-Agri transformation inaendelea
-Health care transformation inaendelea
-Educatiin transformation inaendelea
-Water sector transformation inaendelea etc
Screenshot_20240503-041406.jpg
Screenshot_20240503-041552.jpg
Screenshot_20240503-041034.jpg


Haya maelezo hapo Juu yamejikita zaidi kwenye Kilimo ila ukitaka maelezo ya sekta zingine nitakupa.
 
Back
Top Bottom