Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Still mnalalamika! Timu gani ya Mwanza ipo ligi kuu? Airport Sukumagang wenzenu wamekula hela!
Mzee haya yametoka wapi ndugu yangu? Umeiona mwanza tu ndio inatakiwa iwe na Timu kwenye Ligi kuu?
1. Arusha
2. Kilimanjaro
3. Manyara
4. Mtwara
5. Iringa
6. Mara
7. Pwani
8. Rukwa
9. Katavi
10. Songwe
11. Ruvuma
nk

Zote hizi hazina timu kwenye ligi kuu. Mbona hujaziongelea?
 
Then usiseme kuwa mafuriko hayaripotiwi. Ni vile husomi sehemu yanapotangazwa.
Nilikuwa naongelea unafiki wa watu humu. Alafu nimeeleza jinsi Kenya tunavyoripoti mambo kama haya ni tofauti sana na Tz. Sahii ukiangalia mitandaoni unaweza dhani Kenya Kuna mafuriko Tz hakuna.
 
Nilikuwa naongelea unafiki wa watu humu. Alafu nimeeleza jinsi Kenya tunavyoripoti mambo kama haya ni tofauti sana na Tz. Sahii ukiangalia mitandaoni unaweza dhani Kenya Kuna mafuriko Tz hakuna.
Tulishasema humu. Na tukahoji hivi kwa mito ilivyo mingi hapa Dar ingekuwa Nairobi mgeishije? Hapo Nairobi hakuna hata mito mikubwa lakini mafuriko mpaka Airport, huoni utofauti?
 
๐Ÿ”ฐ Kariakoo ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Screenshot_20240503-125828.jpg
Screenshot_20240503-125852.jpg
Screenshot_20240503-125905.jpg
 
Hivi unadhani Kenya kukinyesha maji yanabakia kwa siku ngapi? You're very stupid.
We kweli msenge.
Picha zenu si zipo bado zinaonesha mafuriko yapo!?
Halafu mbaya zaidi mvua zenu sio za mfururizo kama za Dar.
Dar inapiga mvua jumatatu inakuja kukatika jumatano au alhamisi.
Hivi ninyi mngekua mnanyeeshewa na non-stop rains mngekua katika hali gani!?
Mvua ya siku moja tu mafuriko tele.
Tengenezeni mifumo mizuri ya mifereji.
 
Back
Top Bottom