Noted: Anyway kila mafuriko bongo hata yawe nje ya Dar yana affect tutaiona tu hata wasitangaze, SOUTHERN TANZANIA ambayo ni Agricultural Cordor, ikiwa hiti na mvua kubwa au mafuriko usafiri ukiwa shida stocks ya agricultural products inashuka masokoni na bei iwe kubwa so unatakiwa kuwataarifu wanachi vinginevyo serikali itaanza kulaumiwa.
Central Tanzania kuna njia nyingi zinazounganisha mikoa na usafiri wa mabasi, reli kupita. So ikitokea mafuriko barabara zinafungwa lazima taarifa ipatikane maana barabara ikifungwa simu za viongozi wote wanaitwa kufika eneo husika. Ukiongeza abiria.
Northern Tanzania inafanana na Central, kwa kuwa Arusha na Kilimanjaro ni za watalii lazima iripotiwe na njia za bus, Juzi hapa kulikua na mafuriko Arusha na yalilipotiwa.
Lake zone ni kama Central na Southern Tanzania ila unaongeza pia Agricultural products na Fisheries, Dagaa wa Bukoba, Migebuka, sato na Sangara nchi nzima wanatokea Kanda.
Kulitokea Mafuriko Morogoro you saw here the sugar crisis.
Maana Morogoro inaongoza kwa sugarcane production na viwanda vya sukari.
My whole point ni kuwa Tanzania mafuriko yanalipotiwa vizuri tu.
Tatizo unakuta kesho yake mvua inakata shughuli inaendelea kama hakukua na kitu. Inachangiwa zaidi na TANROADS kurudisha Mawasiliano hata kama ni Usiku.
Wizara na viongozi kufika kutatua changamoto on point.
We thank them for that.
Sasa inakuja huko kwenu mpaka leo March 3 habari inaendelea.
Juzi March 1, ilikua JNA kujaa maji.
Tufanyeje sasa, huku yameisha na huko yapo na Huu uzi ni battle ya Dar vs Nai, kuanzia urban development ambayo inahusisa how jiji linahandle natural issues kama hiyo mvua.
Dar Kukavu huko kelele zinaendelea si Battle iendelee
View attachment 2979671