Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We kweli msenge.
Picha zenu si zipo bado zinaonesha mafuriko yapo!?
Halafu mbaya zaidi mvua zenu sio za mfururizo kama za Dar.
Dar inapiga mvua jumatatu inakuja kukatika jumatano au alhamisi.
Hivi ninyi mngekua mnanyeeshewa na non-stop rains mngekua katika hali gani!?
Mvua ya siku moja tu mafuriko tele.
Tengenezeni mifumo mizuri ya mifereji.
Kwa hivo ulitaka maji yaishe kwenye picha yakiisha kwenye ground?
Halafu hivi una data ya mvua iliyonyesha Nairobi na ya Dar kabla uropokwe huo ujinga eti mvua za Nairobi sii za ''mfurururizo''?
Mjinga tu kama kawaida yako. Nimejaribu kukutoa ujinga humu mara nyingi ila huerevuki.
 
Kwa hivo ulitaka maji yaishe kwenye picha yakiisha kwenye ground?
Halafu hivi una data ya mvua iliyonyesha Nairobi na ya Dar kabla uropokwe huo ujinga eti mvua za Nairobi sii za ''mfurururizo''?
Mjinga tu kama kawaida yako. Nimejaribu kukutoa ujinga humu mara nyingi ila huerevuki.
We msenge kweli.
We unitoe ujinga mimi!?
Kitu gani uliwahi nitoa ujinga zaidi ya kukimbia maswali nayokuuliza mpumbavu wewe!?
Nairobi mafuriko yapo na ni result ya mifumo mibovu ya mitaro,imagine mpaka expressway inamezwa na maji ilhali iko juu.
Imagine mpaka airport yenu imemezwa na maji,hii inaonesha mna mifumo mibovu ya mifereji.
Kubalini tu ukweli mjirekebishe matako nyie.
 
Nimepita Maeneo ya Lugalo kuna Kampuni ya SDLQ imeweka mawe kwaajili ya ujenzi wa BRT. SIjajua kama hiyo ndio Phase ya kwenda Tegeta au ile ya Kwenda Kawe kuzunguka kuja Mwai Kibaki Road.

Mwenye taarifa kamili please
Hio ya Tegeta-Mwenge ina mkandarasi wake. Kutoka Maktaba-Mwenge-Ubungo nayo mkandarasi mwingine
 
😅😅😅😅😅
Screenshots_2024-05-03-15-00-51.png
 
Back
Top Bottom