President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,766
- 89,785
Kiswahili hujui na Kingereza hujui wewe ni popo au mnyama gani?Ukweli. Ila haya maneno tuliyatumia sana kwenye insha shuleni but kwa gumzo la kawaida na nadra yatumike hapa Kenya. Meanwhile, wewe bado Kiingereza chako ni kile kile kibovuuu. 🤣 🤣 🤣