Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kibinadamu kuomba msamaha ni uungwana ila ukija kwenye uhalisia wa TZ uwa tunawaona kunyan ugly
Sasa huyo ng'ombe haoni aibu kupost video ya kuwapa moyo kama hiyo? Yani kwa sasa imefikia hatua watanzania wa kawaida wanapost video alafu inakuwa gumzo ndani ya Kenya, wadada wa watu waliongea tu ukweli wala hawakuwa na bifu na mtu lakini wakenya na inferiority complex yao wame take it serious🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mvua haiishi huko maama Dar tumeanza kuonja joto na ukiuliza kulikua na mafuriko unaweza dhani hayajawahi tokea.
Dar trenches nyingi sana that's why huwezi pata mafuriko kama slum city isiyokuwa na mitaro kama Nairobi, tulikuwa tunawaambia humu kwamba Nairobi hakuna mitaro wakabisha, nafikiri now wameona umuhimu wa mitaro. Failed state.
 
🔨🔨🔨🔨 hatua ya kiujasili kutoka Tanzania 👇👇
Screenshot_20240501-115308.jpg
 
Kusema ukweli Hawa CAF wana corruption kiplani. Huwezi niambia zizi la ng'ombe kama Azam lina hadhi kuliko Nyayo wakati hata Dandora halifikii. Pale Ug Namboole na Nakivubo wamerenovate wameweka viti ila bado wananyimwa approval. Hapa Kuna mtu akula mlungula.

View attachment 2978366
Hahahahaaaaa kauli ya kukata tamaa hii, Tanzania ni footballing nation tunajua viwanja vinatakiwa viwe vipi, viwanja vyenu havina hata taa za kucheza usiku na bado unataka viwe approved, mechi zote mnacheza mchana mbwa nyinyi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
CAF Standard Vs Non CAF Standard 😂😂😂

CAF Standard with no seats😂😂
View attachment 2978326


Non CAF Standard have foldable seats😂
View attachment 2978325
Ulivyo haya hauna ukachukua pic za Azam complex za zamani ukazileta hapa.
Sifa za uwanja wa Azam mpaka ukapewa hadhi na CAF/FIFA.
1)Viwanja vizuri vya mazoezi.
2)Pitch nzuri ya kuchezea mpira.
3)Mabench mazuri ya ufundi.
4)Vyumba vizuri vya kubadilishia nguo.
5)V.A.R.
6)Taa kubwa,nzuri na za kisasa kwaajili ya mechi za usiku.

Je Kisirani stadium inazo hizo sifa!?
 
Kumbe tumekuwa tukipigiwa kelele hapa na Azam is not even CAF approved 😂😂😂

View attachment 2978424
We fala ni kipi hapo ambacho hakipo!?
Viti vipo vya aina yote pale Azam.
Na sifa zingine ulizotaja karibuni zote ama zote zipo.
Hukuitembea Azam complex ukawa unaitizama kwa aerial view,pole sana.
Shuka dimbani ndio uione.
Pia kila leo inafanyiwa renovation ili ku adilika.
Azam Complex inao uwezo wa kufikisha idadi ya mashabiki 10k,japo viti vilivyowekwa ni vya mashabiki 7k kwa sasa.
 
Just check these conditions alafu uniambie Azam is qualified in which one😂😂.

They don’t have seats for supporters
They have temporary stand which is Prohibited by CAF.

Nimewaambia watuonyeshe report ya CAF wakashindwa which show that Azam Stadium is approved by CAF wakashindwa😂😂
View attachment 2978455
Unajua wewe ni msenge sana, haya hiyo hapo mechi ya Yanga vs Al merreikh ya Sudan champions League
Screenshot_20240502-001651~2.png
ndani ya Azam complex
 
Back
Top Bottom