Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,744
- 80,776
Wacha upuuzi! Unataka kututia hasara!Nchi tajiri kama mathalan Uinegreza uliyotaja sababu za multipurpose zinafanya kazi mkuu.
Uingereza michezo ya riadha iko kwa wingi.
Tanzania hata hatukumbuki mwaka gani mwisho ku host hayo mashindano.
Kiwanja kimoja au viwili vinatosha kaka.
Sio kila kiwanja cha serikali kiwe na running track halafu hazitumiki ipasavyo.