Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Continue crying😎
Why should I cry for a grazing field?😂😂

IMG_0157.jpeg
 
Viwanja vya serikali lazma viwe multipupose kama nchi Tajiri zinazingatia hilo, sie nani tupuuze?
Sio kila kitu tuige nini wengine wamefanya. Mambo mengine tufanya kufuata demand za wakati. Sioni akili kubwa kwenye kujenga hii mi marathon tracks isiyotumika kama mapambo. Viwanja vyote vya zamani ukiacha Mkwakwani vina hii tracks ya wanariadha serikali wakarabati hivyo na hayo matracks, hivi vipya vibaki kwa kipute tu.

kid chiiling.jpg
 
Sio kila kitu tuige nini wengine wamefanya. Mambo mengine tufanya kufuata demand za wakati. Sioni akili kubwa kwenye kujenga hii mi marathon tracks isiyotumika kama mapambo. Viwanja vyote vya zamani ukiacha Mkwakwani vina hii tracks ya wanariadha serikali wakarabati hivyo na hayo matracks, hivi vipya vibaki kwa kipute tu.

View attachment 2978464
pita kuleee si discussion ya level yako hii!
 
Sio kila kitu tuige nini wengine wamefanya. Mambo mengine tufanya kufuata demand za wakati. Sioni akili kubwa kwenye kujenga hii mi marathon tracks isiyotumika kama mapambo. Viwanja vyote vya zamani ukiacha Mkwakwani vina hii tracks ya wanariadha serikali wakarabati hivyo na hayo matracks, hivi vipya vibaki kwa kipute tu.

View attachment 2978464
Alafu hayo ma track yasiyotumika huwa yana gharama kubwa kuya maintain, angalia Mkapa stadium yameingia kutu kabisa, nashauri tuachane na huu ujinga.
 
I’m waiting for any brave Tanzanian to prove for us that this takataka is approved by CAF😂😂

View attachment 2978458
Azam Complex hosted CAF CL and CAF CC matches for Yanga vs Altar Sola & vs El Mereikh, Simba vs Power Dynamo and Azam vs Bahir Dar at the start of this season 2023/2024.

Kama haikua na CAF Approval ilikuaje hizo mechi zilichezwa hapo. Use common sense acha kuaibisha wakenya.
 
Azam Complex hosted CAF CL and CAF CC matches for Yanga vs Altar Sola & vs El Mereikh, Simba vs Power Dynamo and Azam vs Bahir Dar at the start of this season 2023/2024.

Kama haikua na CAF Approval ilikuaje hizo mechi zilichezwa hapo. Use common sense acha kuaibisha wakenya.
Do you know how many international matches Nyayo has hosted?
 
Hatuna makuu sisi! Hiyo design Mombasa, Kisumu, Eldoret na Isiolo international airports hazioni ndani!


Meanwhile huko JKIA

View: https://twitter.com/Tanzaniawall/status/1785552739897942340

Ngoja hizi BRT 3, 4 & 5 ziishe, halafu Mzimbazi Basin Development Project ikae tuwaonyeshe city park inavyokaa karne ya 21
View: https://youtu.be/TqUddhM2mnw?si=x_0Kc9ycOmSjnotx
pia new high rises pale kariakoo plus T.O.D (Transit Oriented Develepmet) ya Mradi wa DART pale gerezani

View: https://youtu.be/ItS2MhLoap8?si=YuYgJoi9T678Xd9e
then tunahitaji tower kama tatu tu za maana kumalizana na nyang’au, I bet TRA, TRC and ……..😃
 
Back
Top Bottom