47 Good Stadiums?Every County is building a stadium. That’s like around 47 good stadiums. Sio takataka kama hizi.
View attachment 2978029
Nyinyi mko na Stadium moja na unaongea hapa😂😂.47 Good Stadiums?
How the Hell Harambee Stars inakosa uwanja wa kutumia mechi za kalenda ya CAF/FIFA?
Wapo wanatafuta Mishumaa Wamulike lile dude lao linalovuja kama Maji ya flood kwenye Dump truck 😂😂😂😂😂😂😂
View: https://x.com/larrymadowo/status/1785517433815498789?s=46&t=Zi5vkFm4xkpEoPPWxyTXrw
Jibu Swali why Harambee stars haichezi huko licha ya msululu wa viwanja?Nyinyi mko na Stadium moja na unaongea hapa😂😂.
Mkitoa Makwapa Stadium mnabaki na nini?
Kusema ukweli Hawa CAF wana corruption kiplani. Huwezi niambia zizi la ng'ombe kama Azam lina hadhi kuliko Nyayo wakati hata Dandora halifikii. Pale Ug Namboole na Nakivubo wamerenovate wameweka viti ila bado wananyimwa approval. Hapa Kuna mtu akula mlungula.CAF standard Stadium have no seats😂😂😂
View attachment 2978322
Kenyan Standard with seats all round the Stadium.
View attachment 2978323
Broo, kinachofanyika Nairobi ni Elnino, sio bad design. Yafaa ufahamu mafuriko yamefanyika sehemu za mashambani zaidi ya hata Nairobi. Majority ya waliokufa ni wanaoishi ushagoo. Haya mafuriko sio ya kusuluhishwa na drainage.Nakumbuka kulikua na arguments kati ya ichoboy01 na Teargas juu ya mitaro ya barabara, mwaba Teargas kasema ipo closed up.
Ila hii mvua inaprove tofauti kabisa, hata kama Dar tuliyapata ila maji yalipungua barabarani baada ya mvua kukata. Next day kama hakuna chochote.
Yaani hizi mvua tunaona mengi.
Airport ishakandamizwa milele haitaletwa kwa battle tena maana imeacha kovu.
🤣🤣🤣 akijibu ni tag plzJibu Swali why Harambee stars haichezi huko licha ya msululu wa viwanja?
Kasarani under RenovationJibu Swali why Harambee stars haichezi huko licha ya msululu wa viwanja?